JFK wabongo
JF-Expert Member
- Aug 11, 2015
- 3,887
- 3,200
Kila Lowassa anapofanya mkutano, wanaohudhulia 45% wataludi na kumpa magufuli. Technically Lowassa kesha ipoteza Kanda ya ziwa ambako Kuna zaidi ya milioni 5 ya wapiga kura
Peleka porojo zako ufipa.
Ikiwa wameshindwa vyombo vya habari vya ndani wataweza vya nje?
Mdahalo Lowassa hawezi kwa kuwa ni mgonjwa hawezi kuongea zaidi ya dakika kumi, hawezi kusimama muda mrefu na kwenye mdahalo tuaka wagombea wasimame na kujibu hoja kwa masaa matatu.
Si umeona midahalo ya USA?
Bado ninawashangaa sana Watanzania wanaotaka mgonjwa walikuwa wanamnadi kama fisadi aende Ikulu.
nitaamini wa Tz ni MATAHILA kama wataipigia kura CCM baada ya kutusababishia umasikini ulio kithiri.
Kiingereza hujui utaweza kuangalia midaharo ya USA?
Midaharo mingi ya USA huwa wangombea wanajibu na kujieleza wamekaa sasa wewe unataka kutuongopea
Ugonjwa ni mambo ya Mwenyezi Mungu. Hakuna siasa inayosababisha Ugonjwa. Kama kweli Lowassa ni Mgonjwa aombewe kheri kwa Mungu.
Unataka yaletwe na nani?Nahitaji mabadiliko... Lakini sio mabadiliko ya kuletwa na UKAWA ya Ngoyai Lowasa
Rudia tena kwa msisitizo hapo kwenye ugonjwa! Amin amin nakuambia utakufa wewe kwanza kabla ya Lowassa, ndugu zako watashuhudia haya na watapost huu uzi kuushuhudia ulimwengu.
Kweli ccm mbele kwa mbele
1. Wanawake kujifungulia Sakafuni
2. Watoto kusomea chini ya Miti
3. Watumishi kulipwa mishahara ya Hadaa
4. Twiga kupandishwa kwenye Ndege
5. wizi wa ESCROW
6. Ufisadi wa EPA
7. Ufisadi wa RICHMOND
8. Ujangili Uliokithiri
9. Mikataba Mobovu ya Dhahabu
10. Mikataba mibovu kwenye Tanzanite
11. Mikataba mibovu kwenye Almasi
12. Ubinafsishaji wa Bandari, ATC, Mashamba yaNAFCO, VIWANDA, NBC nk
13. Huduma duni za Afya
14. Huduma Mbovu za Elimu
15. Ukosefu wa Maji
16. Ukosefu wa Umeme wa Uhakika
17. Gharama kubwa za Umeme
18. Kupanda kwa Bei ya Mafuta ilhali inashuka kwenye soka la Dunia
19. Gharama kubwa za vifurushi vya simu za mkononi
20. Wawekezaji kutokulipa kodi
21. Rais kusaini cheque kwa dhehebu moja
22. Pengo la kukataa Rasimu ya Katiba mpya
23. Ubovu wa barabara
24. Kugawana Nyumba za Serikali
25. Mauaji ya Daudi Mwangosi
31. Mkaahapa kujimilikisha mgodi wa Kiwira
32. Yusuf Marope kutumia Bilioni 5 uchaguzimdogo wa Tarime
33. Ufisadi wa Deep Green
34. Ufisadi wa Meremeta
35. Mabomu ya Arusha
36. Uvamizi wa vituo vya Police
37. Ununuzi wa Mv Dar es Salaam kifisadi
38. Mabehewa Feki ya Treni
39. Ununuzi wa Ndege ya Rais
40. Mikataba 17 ya kichina
41. Kushamiri kwa biashara ya Sembe (madawa ya kulevya)
42. Usafirishaji wa Meno ya Tembo
Katu hatutarudi nyuma na tukiingia madarakani yatakuja mapya zaidi ya haya, dogo hilo!
TADIP sio taasisi huru maana ipo under chadema so ni vigumu sana kuuamini utafiti wake na mbaya zaid wameenda kariakoo kwa wabeba mizigo tu then wakawahoji huku wakiwa wamewapa viroba hivyo in any case lazima ita favour chadema
Kila Lowassa anapofanya mkutano, wanaohudhulia 45% wataludi na kumpa magufuli. Technically Lowassa kesha ipoteza Kanda ya ziwa ambako Kuna zaidi ya milioni 5 ya wapiga kura
Wanaopigia ccm si mataahira, nadhani jitathimini ww, na utagundua kuwa wewe ndo taahira wa kwanza, ni ujinga mkubwa kuchagua watu ambao wanamigogoro mikubwa UKAWA, utawaamini vipi kuwapa nchi? saizi yao tutawapatia ubunge na si Urais, haya yanayotokea tunayaona vizuri, ccm baada ya uchaguzi wamekuwa wamoja lakini ndani ya UKAWA ndo misuguano inazidi na bado siku27-hatuwezi kufanya hilo.