Haulizi kwa kuwa majibu anayajua.
Amuulize nani swali humo bungeni? Hakuna size yake humo. Akiwa na issue anaongea na Rais direct au anatoa directive kwa waziri husika. Wanaobwabwaja bungeni hawana access ya kuongea na rais au waziri moja kwa moja
Swali ni anafanya nini bungeni
Swali ni anafanya nini bungeni
Wamasai hata ukiwasemea bado wanahitaji mabadiliko yao kwanza (mentally) anaweza kufa na njaa na anao ng'ombe 1000, analala na njaaa na ndani kuna laki moja , na ni wabishi wa kupita kiasi , last week kuna mmasai kafa kisa alikua anatoka shamba yuko na trekta ,mvua kubwa ikanyesha akawa anapita sehemu ya bonde ambapo maji yalijaa , watu wanamwmbia acha trekta okoa maisha yako wapi , na trekta nikazolewa na maji na yeye pamoja , hawa watu wanahitaji elimu ndo itawakomboaKama kuna mtu anae ielewa Monduli,kuna masikini wakutupwa.hua namshangaa sana ninapo mwona Lowasa yupo kimya Bungeni akiti kuna jirani zake pale ngarashi hawana uakika wa mlo mmoja,watu wana changishwa elfu kumi kwa ajili ya yaku ongeza madarasa,ila yeye kula kukicha makanisani nakutoa mamilio ya fedha,nafikiri hastaili kua mbunge,abaki kua mfazili wa jimbo na wana Monduli wapate Mbunge wakuweza kuwasemea chechote bungeni.muda wa Lowasa kupumzika umefika.
Acheni kumuandama Lowassa.
Jamani huu ujinga wenu utaisha lini? Lowassa alijiuzulu kwa hiari na kitu kipya na bora kwa kiongozi Tanzania.
Mpaka imedhibitika kuwa yeye alitaka kuwafukuza Richmond, akamtaarifu Rais JK akiwa nje kwa simu JK akamwambia wape tena muda, muda sio mrefu kamaikaanza kazina matokea yake ni yeye kutuhumiwa bila hata kuhojiwa
hakuna mpuuzi jinga kubwa kama MBOPO humu ndani,Lowasa mzima kabisa humu ndani alafu unazisha upuuzi wako eti Mgonjwa Acha ujinga Mods ni kipindi cha kuwapiga ban apuuzi ka hawa,nonsence,Long Live Edo.