Wakuu habari za asubuhi,
Nimejiuliza swali hilohapo juu, sababu wote tunafahamu kilicho muondoa Dr. Slaa CHADEMA.
Kwa kauliyake Dr. Slaa nikwamba yeye alijitoa CHADEMA sababu alikuwa ndie alie mtangaza Lowassa katika list of shame, na hakuwa na jinsi ya kumsafisha. Sasa ikitokea akakarudi CCM ningependa kusikia Dr. Slaa anamzungumziaje Lowassa.
Ngoja nisubiri kuona kunakitu kingine nataka kujifunza hapa.