Mgombea urais kwa tiketi ya chadema Lowassa anapachimba meatu mda huuuu.
Kabla ya hapo kabla ya hapo alihutubia mkutano mwingine wa hadhara katika jimbo la Kisesa.
Picha zitawajia pundeee, ni mafuriko hatari.
update :
amemaliza kuhutubia ndio anaondoka anasubiriwa mkutano mwingine mjini singida