mchambuzixx
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,292
- 946
Hapo ni kwa salum mbuzi. Ameenda kupoteza muda tu.
Kila mgombea amwombe god
Hili fisadi la kazi gani.
Mgombea urais kwa tiketi ya chadema Lowassa anapachimba meatu mda huuuu.
Kabla ya hapo kabla ya hapo alihutubia mkutano mwingine wa hadhara katika jimbo la Kisesa.
Picha zitawajia pundeee, ni mafuriko hatari.
God protect our President Mr Lowasa wherever he moves in name of Jesus Amen