Evans-Arsenal
JF-Expert Member
- Jan 10, 2016
- 868
- 1,385
Akiwa leo viwanja vya makumbusho Mh Edward Lowassa ambaye pia ni mjumbe wa kamati kuu Chadema amesema hayo pamoja na kwamba wametunyima uwanja lakini hapa majengo kumenoga zaidi na kusema kwamba
"waache wafu wazikane wenyewe....."
"waache wafu wazikane wenyewe....."