Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,627
JF imevamiwa kwahiyo lissu na mbowe wanavyolala selo huku wwe na mimi tukiwa tunakunywa juisi kwa kijiko huwa na wenyewe wanahoji kama tupo nao kwenye mapambano???Lowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
Nilifikiri kuna jipyaLowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
nilifikiri kuna jipya..hayo yanajulikanaLowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
Laiti ungejua mshahara wa mbunge wako ambaye tangu mumchague hajakanyaga jimboni kwenu Nyie wasaka panya msinge thubutu kujiita wana ccm kindakindaki!! Hebu angalia ubora wa maisha kati ya majimbo yanayo Tawaliwa na ccm na yale yanayoongozwa na vyama vingine uone tofauti! Oneni aibu jamani!Lowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
Lowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
Kidumu.Kidumu Chama Cha Mapinduzi(CCM).
Lisu hakutaka kufuata matakwa ya sheria. Asilalamike..... Na imani hiyo ndo imepelekea matibabu ya LISU yawe kama yalivyokuwa
Ungeweka hiyo sheria ambayo hajaifuata ingekuwa jambo la maana sana... Kuongea tu kwa hisia wala hakufanyi jambo la uwongo liwe la kweli na la kweli liwe la uwongoLisu hakutaka kufuata matakwa ya sheria. Asilalamike.
Maccm majinga tu. Sikh mkijua tunaokula bata nchi hii tunawaunga mkono chadema kwa kificho au kwa uwazi mtajinyongaLowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Tuchane na siasa za 2015, siasa za kufuata upepo na zilizokwisha pita na wakati.
Wewe upo huko Naliendeli, Ngudu na huko kwingineko unajivunia ukamanda wako eti upo na Lowasa , Sumaye kwenye safari ya mabadiliko.
Huna mbele wala nyuma unafuata mkumbo ( hasa huku mitandaoni). Unajua Mbowe anavyoramba ruzuku ya CHADEMA ?
Ukapimwe akili.
Wanapewa haya kama mawaziri wakuu wastaafu. Aisee, ktk post ulizoandika kiboya hii namba 1😀Lowasa na Sumaye wanapewa vitu vifuatavyo maisha yao yote ( Na Serikali ya CCM ) :-
1. Usafiri
2. Ulinzi ( mkali )
3. Wafanyakazi
4. Malazi
5. Chakula
6. Mshahara ( 80 %)
7. Mavazi
8. Mawasiliano
Kamuulize Spika Job Ndugai atakuonyesha bila wasi wasi. Tusisumbuane hapa.Ungeweka hiyo sheria ambayo hajaifuata ingekuwa jambo la maana sana... Kuongea tu kwa hisia wala hakufanyi jambo la uwongo liwe la kweli na la kweli liwe la uwongo