Nteko Vano
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 434
- 113
Kwa kipi cha kumfananisha, bado mnafikria 2naishi kama miaka hiyo, we are watching the movie prety soon u will c the changes!Huo ndio ukweli. Lowassa ni Kagame wetu 2015.God bless EL.
Katika hali isiyo ya kawaida ktk pitpita zangu inaonekana Lowasa anakubalika sana na wananchi wengi kwamba anauwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi ya kiuongozi na endapo atakubali kutangaza nia wengi pia kutoka CDM watamuunga mkono.Wengi hawaamini yakuwa EL alikua na makosa ya kiutendaji alipokua waziri Mkuu kwani hakuna maamuzi yeyote yakumchukulia hatua kutokana na yaliyotokea hadi kujiuzulu.Ingekua kweli ndiye katenda basi lazima sheria ingefuata mkondo wake kwa hasara ya pesa zilizotokea.Wazee wengi wnamfahamu Lowasa, nadhani hii ni kutokana na nyadhifa zake kiserikali na namna alivyoongoza wizara n taasisi za kiserikali enzi ya uongozi wake.Bila shaka vijana wengi pia wnamkubali.Umri si tija kwake tija ni utendaji wake kwa Watanzania.Natamani sana kumuona akichukua fomu ya urais kwa 2015 kadri ya zawadi ya uhai kutoka kwa Mwenezi Mungu.
Lowasa ni mtaji mzuri sana kwa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Nawasilisha.
Katika hali isiyo ya kawaida ktk pitpita zangu inaonekana Lowasa anakubalika sana na wananchi wengi kwamba anauwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi ya kiuongozi na endapo atakubali kutangaza nia wengi pia kutoka CDM watamuunga mkono.Wengi hawaamini yakuwa EL alikua na makosa ya kiutendaji alipokua waziri Mkuu kwani hakuna maamuzi yeyote yakumchukulia hatua kutokana na yaliyotokea hadi kujiuzulu.Ingekua kweli ndiye katenda basi lazima sheria ingefuata mkondo wake kwa hasara ya pesa zilizotokea.Wazee wengi wnamfahamu Lowasa, nadhani hii ni kutokana na nyadhifa zake kiserikali na namna alivyoongoza wizara n taasisi za kiserikali enzi ya uongozi wake.Bila shaka vijana wengi pia wnamkubali.Umri si tija kwake tija ni utendaji wake kwa Watanzania.Natamani sana kumuona akichukua fomu ya urais kwa 2015 kadri ya zawadi ya uhai kutoka kwa Mwenezi Mungu.
Lowasa ni mtaji mzuri sana kwa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Nawasilisha.
Huo ndio ukweli. Lowassa ni Kagame wetu 2015.God bless EL.
kwani kageme ndo unaona raisi wakumfananisha na maraisi duniani??
LOWASA ni jambazi tuuu!
Duuu!! Watu mnakazi kweli, hivi ni kiasi gani cha fedha mnalipwa kwa kazi hii?
Watanzania hawaishi nje ya tanzania wanafahamu sana kama EL anafaa au la, alihusika na ufisadi au la, ni msafi au laa. kwa nini mnajisumbua kiasi hicho wandugu wapendwa.
Mimi ningekuwa EL ningewambia wote wanaofanya kazi hii waache maana watamfanya sasa watz washtuke na wamchukie bure. kama anafaa jamani si tunamfahamu...? Mtu aliyeshika nafasi kubwa kama yeye kuna ambaye hamfahamu.. Hapa ni sawa na kuwaambia watz kuwa uchumi wa tz unapaa wakati wote tunaishi tz tunachopata tunajua km uchumi unapaa au ni bora au la, kila mmoja unamgusa kivyake... mambo haya yanachosha sana...
Katika hali isiyo ya kawaida ktk pitpita zangu inaonekana Lowasa anakubalika sana na wananchi wengi kwamba anauwezo mkubwa sana wa kufanya maamuzi ya kiuongozi na endapo atakubali kutangaza nia wengi pia kutoka CDM watamuunga mkono.Wengi hawaamini yakuwa EL alikua na makosa ya kiutendaji alipokua waziri Mkuu kwani hakuna maamuzi yeyote yakumchukulia hatua kutokana na yaliyotokea hadi kujiuzulu.Ingekua kweli ndiye katenda basi lazima sheria ingefuata mkondo wake kwa hasara ya pesa zilizotokea.Wazee wengi wnamfahamu Lowasa, nadhani hii ni kutokana na nyadhifa zake kiserikali na namna alivyoongoza wizara n taasisi za kiserikali enzi ya uongozi wake.Bila shaka vijana wengi pia wnamkubali.Umri si tija kwake tija ni utendaji wake kwa Watanzania.Natamani sana kumuona akichukua fomu ya urais kwa 2015 kadri ya zawadi ya uhai kutoka kwa Mwenezi Mungu.
Lowasa ni mtaji mzuri sana kwa Tanzania kisiasa, kiuchumi na kijamii.
Nawasilisha.