Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
JF nimekuwa nikipitia kwenye wall paper (Facebook) ya aliye kuwa waziri mkuu wa TZ kabla ya ya huyu anayejiita mtoto wa mkulima Lowasa ambaye anajiita Lowassa the next president of united republic of Tanzania amesema hivi ktk facebook yake. [h=6]Edward Lowasa the NEXT President of United Republic of Tanzania [/h][h=6]Bado Nasisitiza kuhusu 'MAAMUZI MAGUMU' kama kweli ni Mbio za Vijiti basi mwenye kijiti hichi na Awe makini kwani kitavunjika muda si mrefu. NAIPENDA TANZANIA[/h] JF keep in touch tutasikia mengi
Mkuu huyo sidhani ni Lowassa wa kweli. Huenda ni mtu mwingine tu amefungua account kwa jina hiloJF
nimekuwa nikipitia kwenye wall paper (Facebook) ya aliye kuwa waziri mkuu wa TZ kabla ya ya huyu anayejiita mtoto wa mkulima
Lowasa ambaye anajiita Lowassa the next president of united republic of Tanzania amesema hivi ktk facebook yake.
Edward Lowasa the NEXT President of United Republic of Tanzania
Bado Nasisitiza kuhusu 'MAAMUZI MAGUMU'
kama kweli ni Mbio za Vijiti basi mwenye kijiti hichi
na Awe makini kwani kitavunjika muda si mrefu.
NAIPENDA TANZANIA
JF keep in touch tutasikia mengi
JF
nimekuwa nikipitia kwenye wall paper (Facebook) ya aliye kuwa waziri mkuu wa TZ kabla ya ya huyu anayejiita mtoto wa mkulima
Lowasa ambaye anajiita Lowassa the next president of united republic of Tanzania amesema hivi ktk facebook yake.
[h=6]Edward Lowasa the NEXT President of United Republic of Tanzania
[/h][h=6]Bado Nasisitiza kuhusu 'MAAMUZI MAGUMU'
kama kweli ni Mbio za Vijiti basi mwenye kijiti hichi
na Awe makini kwani kitavunjika muda si mrefu.
NAIPENDA TANZANIA[/h]
JF keep in touch tutasikia mengi
JF
nimekuwa nikipitia kwenye wall paper (Facebook) ya aliye kuwa waziri mkuu wa TZ kabla ya ya huyu anayejiita mtoto wa mkulima
Lowasa ambaye anajiita Lowassa the next president of united republic of Tanzania amesema hivi ktk facebook yake.
[h=6]Edward Lowasa the NEXT President of United Republic of Tanzania
[/h][h=6]Bado Nasisitiza kuhusu 'MAAMUZI MAGUMU'
kama kweli ni Mbio za Vijiti basi mwenye kijiti hichi
na Awe makini kwani kitavunjika muda si mrefu.
NAIPENDA TANZANIA[/h]
JF keep in touch tutasikia mengi
Kijiti kilishavunjika tangu ulipong'atuka, sasaa ni mbio za unyonya hakuna wakuushika unakimbizwa na upepo tuu
inawezekana ni kweli ila nimekuwa nikiifuatilia kwa siku nyingi sana na amekuwa hatoi maada labda kwa miezi miwili hadi mitatu mara moja zaidi zaidi rafiki zake ndio wana anzisha maadahiyo facebook page ni feki, mali ya wajanja flani.
ufisadi wake nini? hana ufisadi huyu jamaaaFisadi tu huyo hana lolote asubirie jela yake
JF
nimekuwa nikipitia kwenye wall paper (Facebook) ya aliye kuwa waziri mkuu wa TZ kabla ya ya huyu anayejiita mtoto wa mkulima
Lowasa ambaye anajiita Lowassa the next president of united republic of Tanzania amesema hivi ktk facebook yake.
Edward Lowasa the NEXT President of United Republic of Tanzania
Bado Nasisitiza kuhusu 'MAAMUZI MAGUMU'
kama kweli ni Mbio za Vijiti basi mwenye kijiti hichi
na Awe makini kwani kitavunjika muda si mrefu.
NAIPENDA TANZANIA
JF keep in touch tutasikia mengi
mbona mnataka kura zipoteee CCM km Mvua ya Thailand?ufisadi wake nini? hana ufisadi huyu jamaaa