Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,837
Kweli ndio maana wazungu walisema ,,birds of a feather flock together " ukimuangalia fisadi Lowasa na wafuasi wake wanaojiita ukawa wote tabia zao zinarandana, wote ni watu waliopoteza uhalisia, kwa mfano fisadi Lowasa alinukuliwa akisema kwamba hakuna wakumkata CCM akakatwa, alisema hawezi hama CCM isipokuwa wao (sijui wao ni akina nani) ndiyo watahama, lkn matokeo yake alihama , akasema akienda ukawa ataondoka na Wabunge 150 ktk CCM ameondoka hakuna aliyemfwata isipokuwa makapi yaliyotemwa na CCM, haya sasa hivi anasema atashinda asubuhi na mapema wakati tafiti za kitaalamu zinaonyesha kwamba kama uchaguzi ukifanyika leo hii ataambulia kwenye kama asilimi 20% hivi hilo nalo kama vile wafuasi wake analikataa anasema wamemfiksi na kwamba tusubiri oktoba 25!
Sasa kwenye uchaguzi pia atapigwa mbaya na WatanZania tena itakuwa chini ya hiyo asilimia 20% na baada ya hapo atakuja na singo nyingine tena sasa sijui itakuwa ni ipi kwa maana SADC, AU, EU & Co. wote watasema uchaguzi ulikuwa wa salama na wa haki, sasa sijui nani hata atamsikiliza tena!
Sasa kwenye uchaguzi pia atapigwa mbaya na WatanZania tena itakuwa chini ya hiyo asilimia 20% na baada ya hapo atakuja na singo nyingine tena sasa sijui itakuwa ni ipi kwa maana SADC, AU, EU & Co. wote watasema uchaguzi ulikuwa wa salama na wa haki, sasa sijui nani hata atamsikiliza tena!