Lowasa adhalilishwa

Robethn

JF-Expert Member
Joined
Aug 18, 2015
Posts
2,103
Reaction score
354
Hili halukubaliki. Mbatia kumdhalilisha Lowassa No. No. No. Haiwezekani Mbatia ambaye si mgombea urais, atake mdahalo ufanyike ukimjumuisha yeye na sio Lowassa. Yeye Mbatia ni Nani? Inamaana Lowassa hana uwezo au hajitambui? Ina maana Lowassa anaweza kushindwa kujibu hoja au kumwaga sera? Ina maana Lowassa ni mgonjwa sana mpaka kushindwa kuhudhuria mdahalo?Mbatia acha kumdhalilisha Lowassa. Wewe ni kichuguu tuuu.
 
haya hatutaki mdahalo...katafuteni kingine mje
 
Lowasa hawezi kuongea na walioshindw. Hii itakuwa kupoteza muda bila sababu.
WATZ WANATAKA MABADIRIKO
 
duh leo mnalogout na kulogin!!
 
Wewe ndiye yule uliyeweka bandiko hili mara ya kwanza? Naona mnabadili kichwa tu
 
Wanaoga mdahalo kwa kuwa wanaona MAgufuli amejipanga vizuri na ana hoja zenye mashiko ili hali wao ukawa wanatapatapa tu huku na kule hawana hoja,hatuwezi kuwachagua watu wasio na dira
 
Hivi ukawa mkija kwenye mdahalo mna lipi la kuwaeleza watanznia,ufisadi wenu tunaujua,chama chenu hakieleweki kina dira gani,hatuwezi kuwaamini tukawapa nchi hata kidogo
 
Vipi 6 Alipoomba Mdahalo Na Lowasa Alimzaririsha Magufuli? Acheni Kujitoa Ufaham Mkajifanya Hamuelewi
 
Kwa style hii upinzani wajaribu tena 2025...na hata hapo wakifanya maamuzi kama waliofanya sasa tutawaambia wajaribu tena 2035
 

Hatutaki mdahalo kashtaki polisi
 

lowassa anaogopa ataulizwa kuhusu zile mvua za kutengeneza alizotaka azilete ili nako apige dili pia!!!
 
Nakumbuka 2010 wagombea wote wa ccm walukatazwa kushiriki midahalo ya kampeni na Tido mhando alieanzisha midahalo hiyo akafukuzwa tbc! Leo kuna nini?
 
Mwaka 2010 CCM ilikataa midahala, na kuna mdahalo ambao Mhe. Wasira alihudhuria, nimesahau alikuwa anagombea Urais kupitia chama gani. Sasa hivi iwe zamu ya UKAWA kutohudhuria kama ikihudhuria basi, aende mwakilishi.
 
Mbona inaweza pia kuwa aliyedhalilishwa ni Magufuli na si Lowasa

Maana huenda UKAWA wameona Magufuli bado si level ya Lowasa, level yake ni Mbatia

But natamani mazungumzo ya issue nyepesi watanzania tungeweka kando tuanze kujadili issues nzito zenye kugusa maisha yetu moja kwa moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…