Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,729
Usilazimishe penzi hata siku moja. Mtu anayekupenda haitaji kusumbuliwa ili akukubalie. Kidogo tu ukimgusia uhusiano naye unaona dalili za kuonyesha kukupenda.
Mwanamke unayemfuatilia mara kakuchomesha mahindi kwa dinner, unamtumia text saa 2 anakujibu anakuja.
Ikifika muda wa miadi hapatikani hadi unaamua kumpandia hewani kuulizia vipu! Umeahirisha kuja?
Tena unakuta kasahau kama mlikubaliana. Usijishushe namna hiyo.
Love is suppose to be simple, effortless and beautful.
Mwanamke unayemfuatilia mara kakuchomesha mahindi kwa dinner, unamtumia text saa 2 anakujibu anakuja.
Ikifika muda wa miadi hapatikani hadi unaamua kumpandia hewani kuulizia vipu! Umeahirisha kuja?
Tena unakuta kasahau kama mlikubaliana. Usijishushe namna hiyo.
Love is suppose to be simple, effortless and beautful.