Love has no reason

Love has no reason

2018

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2018
Posts
547
Reaction score
795
Naomba muonyeshe upendo bila sababu yoyote, nitumieni hela kwenye hii account ya equity bank.
3015111602070
Mungu awabariki na kuwaongezea pale mtakapotoa.
 
Naomba muonyeshe upendo bila sababu yoyote, nitumieni hela kwenye hii account ya equity bank.
3015111602070
Mungu awabariki na kuwaongezea pale mtakapotoa. Amen
Mambo ya pesa hapo utasugua Gaga mpaka 2040 hio account haitakuwa hata na mia ya kutoka jf ...

Humu kumejaa wajanja wajanja tu ,kama wanabisha watume hata mia
 
Mambo ya pesa hapo utasugua Gaga mpaka 2040 hio account haitakuwa hata na mia ya kutoka jf ...

Humu kumejaa wajanja wajanja tu ,kama wanabisha watume hata mia
aloo kweli mpaka saa hii sioni SMS
 
Wakuu bado nasubiri , naamini mkipata nafasi mtaweka kiasi humo
 
Mimi nikija kuwa na fweza ntakua nawasurprise watu kwenye accounts zao kama bwana pepsi
 
Amkeni Amkeni kwa wakala bado wazi
 
Wakuu wekeni mikwanja io au shida nini?
 
Mbona kimya wakuu hakuna mwenye hata mia moja
 
Mbona kimya wakuu hakuna mwenye hata mia moja
 
Back
Top Bottom