Kwa kifupi ni kwamba unataka kupanua wigo wa biashara wa madada wanaojiuza
Hii inaitwa e-prostitution (electronic prostitution)
Mungu akutie upofu wa maarifa ktk lengo lako,Amina
You take my money, I take your viginity
Ni ukweli ulio wazi wanawake wanahitaji pesa wanaume wanahitaji kugegeda, kwenye mapenzi dhana ya upendo ni ya kufikirika tu wanawake wanalalamika wanaume ni wasaliti hawana mapenzi ya kweli na wanaume nao wanaona wanawake warembo ni vigumu kuwapata bila kuhonga fikiria diamond bila hela angempataje wema. hivyo nafikiria kuanzisha dating site itakayosaidia wanaume ambao kwa shughuli zao wako busy ku interact na hawa viumbe lakini wanahitaji kugegeda na wanawake vilevile ambao wanahitaji pesa na wanaona aibu kukaa barabarani kusubiri wanaume na amini itawasaidia sana.
Note: hii itakuwa based only in dar es salaam in short run and arusha in near future.
nakaribisha mawazo yenu walokelo na watakatifu wengine am very sorry for disappointing you.
Kwa kweli kuchepuka ni kujiendekeza tu hakuna kingine eti dhana for what purpose??????? Hiv unaeza kua na mtu unampenda ukawa unamtizama hat kumgharamia ugharamii??? Ukipendacho lazima kivutike moyoni na machoni kikupendeze.....all i need is true love pesa haina nafas penye mapenz ya dhat kwangu
Kwa kweli kuchepuka ni kujiendekeza tu hakuna kingine eti dhana for what purpose??????? Hiv unaeza kua na mtu unampenda ukawa unamtizama hat kumgharamia ugharamii??? Ukipendacho lazima kivutike moyoni na machoni kikupendeze.....all i need is true love pesa haina nafas penye mapenz ya dhat kwangu
My dear you are alright. Hakuna kitu kizuri kama True Love . The same here you will never make me happy if you don't have a true love for me, never . Thanks!
Kwa hiyo wewe hauwezi kujigharamia mpaka mwingine akugharamie na kupendeza si kwa ajili yako bali mtu mwingine really?
... kwenye mapenzi dhana ya upendo ni ya kufikirika tu