shalet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 3,440
- 3,606
Ni ukweli ulio wazi wanawake wanahitaji pesa wanaume wanahitaji kugegeda, kwenye mapenzi dhana ya upendo ni ya kufikirika tu wanawake wanalalamika wanaume ni wasaliti hawana mapenzi ya kweli na wanaume nao wanaona wanawake warembo ni vigumu kuwapata bila kuhonga fikiria diamond bila hela angempataje wema. hivyo nafikiria kuanzisha dating site itakayosaidia wanaume ambao kwa shughuli zao wako busy ku interact na hawa viumbe lakini wanahitaji kugegeda na wanawake vilevile ambao wanahitaji pesa na wanaona aibu kukaa barabarani kusubiri wanaume na amini itawasaidia sana.
Note: hii itakuwa based only in dar es salaam in short run and arusha in near future.
nakaribisha mawazo yenu walokelo na watakatifu wengine am very sorry for disappointing you.
Note: hii itakuwa based only in dar es salaam in short run and arusha in near future.
nakaribisha mawazo yenu walokelo na watakatifu wengine am very sorry for disappointing you.