DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 40,590
- 99,555
Wee nae kumbe Ni KIMBIMBINshatongozwa na mkaka mmoja mzuri tu.... nikaona huyu nimepata...sasa bhna siku ya mechi heeeeee......sisikii kitu...ananiuliza mbona huliii.....
Nikajifanya kulia lakini alifanya kamoja...akasema tuoge tuondoke....kimoja nacho kilikua cha shida mpka nikashangaaa huyu anashida gani...
Nikarudi kwa mjaa wangu wakunipelekea moto....nikafurahi mwenyewe...kitu mshedede upo wima...Deo popote ulipo nakumiss sana...
Kuumwa kukanifanya nipotezane na d
Deo wangu...saiv nipo single