j2 ni siku ya Mungu,wengi wetu tuliamka tukiwaza tuyaonayo.Wengi wetu vijana wa leo,nyumba ya ibada imekuwa ni neno la kiyunani,la mwisho mzuri huanza na mwanzo mzuri.Tunayo nafasi,tubadilike,tubadilikeje,uajana ni mprvu ni wakati wa kufanya maamuzi magumu,ujana mbichi ni wakati wa kuyaendelea mazuri na ujana mkomavu ni wakati wa matunda kuonekana na ifikapo utu uzimani,walio chini wanayachukua yaliyo mema toka kwetu na kuyafanya km mwongozo wao.