Binafsi ningependa uni inbox maelezo zaidi, unahitaji mtu akupe funds, unahitaji kuingia mkataba yaani tu nunue shares, or?
mbona riba ndogo wengi wako kati 20-30%
Drop me your contact
Wakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja kwa jina la MFL ltd. Nakopesha vikundi vya wajasiriamali watanowatano kwa kiwango kisichozidi m1. Sasa kamtaji kamekata na wateja ni wengi sana. Karibu tuwekeze.
Mkuu uko wapi? NAPENDA sana hii kitu ila niko Arusha na huku mimi niko na shirika moja na tuna vikundi zaidi ya 3000,
Wakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja kwa jina la MFL ltd. Nakopesha vikundi vya wajasiriamali watanowatano kwa kiwango kisichozidi m1. Sasa kamtaji kamekata na wateja ni wengi sana. Karibu tuwekeze.[/QUOT
Hongera mkuu mi siko vizuri ki fedha ila kwa ushauri ungeendeleza liquidity management wakati unatafuta partner wa maana wengine wanajua kuwekeza na kupata faida tu ishu zingene itakua juu yako.Kwa ninavyoijua hiyo kazi sio lelemama as you grow and the risk exposure grows na mambo mengine kibao ila nakupongeza sana mkuu sina tu uwezo wa kifedha.
lets communicate and do biashara.0789604755Wakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja kwa jina la MFL ltd. Nakopesha vikundi vya wajasiriamali watanowatano kwa kiwango kisichozidi m1. Sasa kamtaji kamekata na wateja ni wengi sana. Karibu tuwekeze.
Mkuu Soparino how is ur business going on? Tupe mrejesho mkuu,wengine ndo bado tunajikongoja kwenye hii industry ya microfinanceWakubwa Mimi ni mzoefu katika eneo hili kwa takribani miaka 10, nimefanya ndani ya benk moja kubwa hapa nchini maarufu Kama benk ya walalahoi kwa miaka 8, hivi karibuni nimebuni ka institution kamoja kwa jina la MFL ltd. Nakopesha vikundi vya wajasiriamali watanowatano kwa kiwango kisichozidi m1. Sasa kamtaji kamekata na wateja ni wengi sana. Karibu tuwekeze.