Long time kinyama!!

Dah humu kuna watu wakongwe ila tukiangalia I'd zao tunaweza dhani ni vijana wenzetu lol!Shikamoo Mzee.
 
Enzi hizo kichwani 'Afro' la nguvu
likichanuwa watoto watashoboka mtaa mzima.

Mbali ya shati la ndege
la kubana, kulikua na mashati ya mchelemchele pia kulikukwa na yale
mashati ya vitambaa vya mpira a.k.a.
no smoking, yaliyokuwa yakishonwa
'slim fit' mengine yakiachiwa
kuchanuwa huku mikononi.

Enzi hizo
mabuga/mapekos yalikuwa na stlye
fulani ya kusukwa sehemu za kwenye
mifuko hususan miwili ya mbele.
Hapo mtu bukheri kwenda kucheza
'Kamanyola bila jasho' na "masantula
ngoma ya mpwita'.....

miaka ya 81 maeneo ya magomeni tumeshapendeza yaani hakuna mtoto anayekukataa ukiwa umepiga raizoni yako na kichwani una bonge la afro


ha ha ha ha kwa kweli 'Old is
Gold'
 
cha baba? Havikua vya kike kweli hivyo?



vyote ni vya kiume mkuu sema ni matoleo tofauti tu

View attachment 307861

inasemekana kua wanaume ndio walikua wakwanza kabisa kuvaa high hills shoes kabla ya wanawake japo leo hii wanawake ndio wanaotumia zaidi aina hii ya viatu ( raised on shoes)
 
Dah humu kuna watu wakongwe ila tukiangalia I'd zao tunaweza dhani ni vijana wenzetu lol!Shikamoo Mzee.

Marhabaa makondekoujiji. Ujana na uzee uko akilini mwako. Ukijihisi mzee basi hata kama una miaka 30 utakuwa na hulka ya kizee. Mie najaribu kwenda na muda kifikra ingawaje nilikuwepo hapa duniani tokea mkoloni - lol.
 
Last edited by a moderator:


YEEEES mkuu.
 
Mkuu ulikipata wapi kiatu changu? :smiling: Nilikuwa na kama hicho chajuu, exactly.

ha ha ha kwenye harakati za kuyasaka maisha nishawahi kua shoe shine inawezekana ulivileta
 
Mkuu ulikipata wapi kiatu changu? :smiling: Nilikuwa na kama hicho chajuu, exactly.

yaan uwepo wako hapa na jinsi ulivyoelezea hayo mambo umenikumbusha mbali sana. Nyinyi wazee mliokulia kipind cha ukolon mnakuwa na ubabe wa kikolon kweli.
 
yaan uwepo wako hapa na jinsi ulivyoelezea hayo mambo umenikumbusha mbali sana. Nyinyi wazee mliokulia kipind cha ukolon mnakuwa na ubabe wa kikolon kweli.

sio kweli mbona mimi na bibi yenu FaizaFoxy hatuna ubabe
 
Last edited by a moderator:
yaan uwepo wako hapa na jinsi ulivyoelezea hayo mambo umenikumbusha mbali sana. Nyinyi wazee mliokulia kipind cha ukolon mnakuwa na ubabe wa kikolon kweli.

Sina kitufe cha like lakini ni ninakupa sasa.
 
Watu mmekula chumvi humu jf. Shikamoo babu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…