Long live MMU, thanks alot to make me a man again

Long live MMU, thanks alot to make me a man again

nipo tayari kufikishwa mahakamani kama natoa taarifa za uongo! Kama kuna mtu anabisha aje tuprove coz vitendo ndo vina maana kuliko maneno

Mkuu Feedback yako ingekuwa bora zaidi kama ungesema ulifanya nini na nini ili kutatua tatizo lako ili na wengine wafaidike lakini umekuja kivingine kabisa....
 
watu walonishauri walinambia nikifanikiwa nije kutoa feedback. Very sorry kwa wanaoona najisifia

Ungetoa feedback kwa kusema ulifanya hiki na hiki then tatizo likapingua au likaisha kabisa lakini unasema tu kugegeda kugegeda mara mahakamani is that really feedback a great thinker can ask??
 
Back
Top Bottom