Nikimaanisha uwezo wa kuvumilia, namaanisha pale ambapo anajijua anaye wa kwake na anampenda kidhati....Hiyo kutolewa bikra huwa wengi wanatolewa kutokana na kupenda...Msichana anatongozwa yeye anaamini mwanaume huyu ndie wangu wa maisha anaanza mahusiano then baadae anakuja umizwa....