Jamani mwenzenu upweke umenichosha, natafuta mwenza wa kuishi nae.
Ni mama wa watoto wawili, umri wangu miaka 36, elimu yangu ni shahada ya uzamili, muislamu na ni muajiriwa wa serikali.
Nahitaji mume umri kuanzia miaka 37 awe muislam. Aliye serious naomba pm
Watoto wawili baba yao yukwapi
Sorry nina maana yangu
ThanksAll the best
kila la heri beste
Watoto wawili baba yao yukwapi
Sorry nina maana yangu
Ajibu pm kwani tangazo alilitoa huko...aweke majibu humuhumu tutoe maamuzi!!Mbona amelipotezea au amekujibu pm?
Ajibu pm kwani tangazo alilitoa huko...aweke majibu humuhumu tutoe maamuzi!!
tueleze vizuri kuhusu baba watoto,
Baba yao yupo hai
Wanouliza kuhusu baba watoto wanataka kujua mmeachana ama katangulia mbele ya haki, mim nimeelewa hivyo, halafu vigezo vya dini mnakubaliana baada maridhiano kuvitoa mwanzo unakimbiza watu kwani dini inabalika tu, sema hivi MIMI MUISLAM/KRISTO. Ni ushauri tu dada.