Loliondo na Uhalali wa Mitishamba ktk BIBLIA


Hivi jaman amjui kua hata izo ARV zimetokana na mitishamba? Mkiletewa dawa na wazungu mnafakamia kubugia,ila ndugu yetu amevumbua kwa uwezo wa Mungu mnampiga vita! Mbona ARV zinasemekana zinaeffect bado tunatumia? Msipinge kitu kama hamkijui. NO RESEARCH NO RIGHT TO SPEAK!
 
Watu wanasahau birika la sloamu...maraika elitibua watu walozama wakapona
 
Hivi mnategemea nini kwa mtu anayejiita kipindupindu??? Akili zake lazima zifanane na jina. Just ignore him/her msije mkaonekana wajinga kwa kubishana na mjinga.
 
Ndugu zangu, tusimdhihaki Mungu wetu. Kile mtu aaminicho ndiyo uponyaji wake. Kuna mtu aliyefuata mtu kumwomba pesa ya kwenda kwa babu?? Kwani mnadharau watu wengine?? Yakimfika anayepinga atamtafuta babu na wala wakati huo hatomwona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…