Kila mtu hataki kupitwa na kikombe
Ni kweli watu kibao!! Ila wasiwasi wangu ni kwamba huo mmea au mti uko mwingi kiasi gani hapo kijijini? maana pamoja na kwamba serikali bado ina sua sua kukubali au kukataa matibabu yanayotolewa na Mchungaji, ni heri wanamazingira na wahifadhi wakafanya haraka kuangalia uwezekano wa kuuotesha au kuuhifadhi mmea huo ili uweze ku- sustain hoyo traffic ya wahitaji. la sivyo baada ya muda utatoweka kabisaa maana nasikia ni mizizi ya huo mmea ndiyo inayo tumika.
mhhhh!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Kaazi kweli kwelikila mtu hataki kupitwa na kikombe
Wasiwasi wangu ni pale babu atakapotangaza dawa ya utajiri, sijui masharti yake yatakuwaje!!!!!
Kila mtu hataki kupitwa na kikombe