Davidmmarista
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 2,287
- 4,507
Jamani, hadithi ya Kaini na Habili inakwamisha kidogo ikiwa tukaangalia kwa logic. Kaini anaua Habili, kisha anapelekwa katika nchi ya Nodi, eneo lililokuwa mbali na Edeni. Swali ni, Nodi ilitoka wapi wakati Adam na Hawa walikuwa wanadamu pekee?
Kisha, Kaini ana mke, na kwa kuwa wote walitoka Adam na Hawa, mkewe lazima awe ndugu yake. Hii kimsingi inafanya kazi kihesabu, lakini kimaadili na kwa mtazamo wa leo inakinzana. Biblia pia inasema Kaini akajenga mji wa Henoko, lakini mji ukiwa na watu wachache sana, je, ni nani aliyeishi hapo? Kwa kweli, baadhi ya mambo hayaeleweki literal labda ni symbolic, ikituonyesha fundisho kuhusu wivu, adhabu, na uzao wa binadamu.
Personally the bible isn't 100% true if misses something, ukitumia logic kuuliza hivi vitu havina majibu. Pengine wafia dini tusaidizane
Kisha, Kaini ana mke, na kwa kuwa wote walitoka Adam na Hawa, mkewe lazima awe ndugu yake. Hii kimsingi inafanya kazi kihesabu, lakini kimaadili na kwa mtazamo wa leo inakinzana. Biblia pia inasema Kaini akajenga mji wa Henoko, lakini mji ukiwa na watu wachache sana, je, ni nani aliyeishi hapo? Kwa kweli, baadhi ya mambo hayaeleweki literal labda ni symbolic, ikituonyesha fundisho kuhusu wivu, adhabu, na uzao wa binadamu.
Personally the bible isn't 100% true if misses something, ukitumia logic kuuliza hivi vitu havina majibu. Pengine wafia dini tusaidizane