Logic hii, wabongo hawaielewi kabisa!

Kijakazi

Platinum Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
10,423
Reaction score
17,737
huyo alikuwa ni body builder world champion (rip) akimuomba mpenzi wake akubali kuolewa naye, kwa mbongo haingiii akilini kabisa, hawaipati hiyo logic, kwa maana bongo mwenye miguvu anapiga wa chini, mwenye nguvu ndiyo anakula na ndiye anayeishi kama porini ...



Ricardo nolasco dos santos (rip)
 
Kuna uwezekano ulikuwa na point ya msingi, tatizo uwasilishaji.
 
Hik inaenda kinyume na masculinity kabisa.

Mwanaume unapigaje goti wakati wewe ndio kiomgozi,goti anatakiwa apige mke.

Kuna makabila wakawake wakiamkia wanapiga goti, wanaume sidhani kama wanafanya hivyo.

Tatizo sio kuyafanya hayo, tatizo ni kufanya hayo hapa Bongo wakati sio tamaduni zetu..
 
Haya majitu huwa yote vibamia licha ya hiyo misuli yao ya booster na steroids. Kwanza hayapendezi halafu mengi yao hayavuki 40 yrs
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…