Signature BomasHabari Wakuu.
Naomba mnijuze lodge nzuri Arusha City. Budget isizidi 30,000.
Natanguliza shukrani.
Masoko, iko Mbauda. Bei ni Elfu kumi tu ni kama Ulaya.
Kama unapenda sehemu tulivu.Habari Wakuu.
Naomba mnijuze lodge nzuri Arusha City. Budget isizidi 30,000.
Natanguliza shukrani.


Mkuu hali ngumu hata hotel zimeshuka, Naura spring hotel bora kabisa room unapata hadi 40kLodge nzuri halafu iwe ya 30,000.siyo kwamba umechanganya kidogo,labda ulimanisha guesthouse
Mbauda ni Baraka hotel tu kwingine ni hovyoMydell Lodge ipo karibu na Sarafina Bar. Iko poa sana
Kama mpaka Naura spring unapata rooms za 40k basi ni kweli sekta binafsi zimekufa tayari.Mkuu hali ngumu hata hotel zimeshuka, Naura spring hotel bora kabisa room unapata hadi 40k
Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Nafikiri umesikia wanauza baadhi ya mali zake wafanyakazi walipwe...ni hatari sanaKama mpaka Naura spring unapata rooms za 40k basi ni kweli sekta binafsi zimekufa tayari.
sababu hiyo haitoshi hata robo ya runing cost
Habari Wakuu.
Naomba mnijuze lodge nzuri Arusha City. Budget isizidi 30,000.
Natanguliza shukrani.
Njiro ziko poa sana ua mrombooHabari Wakuu.
Naomba mnijuze lodge nzuri Arusha City. Budget isizidi 30,000.
Natanguliza shukrani.
Mkuu usidanganye, unaijua Gran melia?Nenda hapo city link ni barabarani kabisa unapata chumba na breakfast kwa hiyo hela yako. Kwa kipindi iki cha covid hoteli yoyote unalala kwa 30k hata ukipenda kulala GRAN MELIA au Mount Meru wanakukaribisha kwa furaha!
Sory aisee out of box kidogo, Zanzibar hotel ya bei ya chini shingapi?
Niijulie wapi mkuu mi naisikia tuu..? Ngoja jamaa kama akienda huko ataleta mrejesho, japo sehemu nzuri ya kulala nimemuelekeza😂😂😂