test man JF-Expert Member Aug 13, 2016 1,013 948 Oct 17, 2019 #1 Mwenye taarifa juu ya hii loan board kuhusu kutoa majina ya wanufaika wa mikopo mwaka
The Humble Dreamer JF-Expert Member Oct 12, 2015 7,446 10,237 Oct 17, 2019 #2 Tulia subiri utaratibu ukamilike. Na ulivyo na presha hivi, andaa kiwanja cha kuuza.
test man JF-Expert Member Aug 13, 2016 1,013 948 Oct 17, 2019 Thread starter #3 Tulia ww mm tayari nimeuza hadi nyumba nataka watoe majina nijue nitatoboa au nianze biashara tu Honestty said: Tulia subir utaratibu ukamilike. Na ulivyo na presha hiv, andaa kiwanja cha kuuza. Click to expand...
Tulia ww mm tayari nimeuza hadi nyumba nataka watoe majina nijue nitatoboa au nianze biashara tu Honestty said: Tulia subir utaratibu ukamilike. Na ulivyo na presha hiv, andaa kiwanja cha kuuza. Click to expand...
The Humble Dreamer JF-Expert Member Oct 12, 2015 7,446 10,237 Oct 17, 2019 #4 test man said: Tulia ww mm tayari nimeuza hadi nyumba nataka watoe majina nijue nitatoboa au nianze biashara tu Click to expand... Hii ni serikali ya awam ya 5. Anza biashara.
test man said: Tulia ww mm tayari nimeuza hadi nyumba nataka watoe majina nijue nitatoboa au nianze biashara tu Click to expand... Hii ni serikali ya awam ya 5. Anza biashara.
test man JF-Expert Member Aug 13, 2016 1,013 948 Oct 17, 2019 Thread starter #5 Powa subiri kwanza watoe nimeona wanachokonoa watupie majina na link hiyo haifanyi kazi Honestty said: Hii ni serikali ya awam ya 5. Anza biashara. Click to expand...
Powa subiri kwanza watoe nimeona wanachokonoa watupie majina na link hiyo haifanyi kazi Honestty said: Hii ni serikali ya awam ya 5. Anza biashara. Click to expand...
The Humble Dreamer JF-Expert Member Oct 12, 2015 7,446 10,237 Oct 17, 2019 #6 test man said: Pw subiri kwanza watoe nimeona wanachokonoa watupie majina na link hiyo haifanyi kazi Click to expand... Mi nakwambia wewe, kwa jiwe una matumaini? Mwenye 1.3 yuko zake muhimbil au udsm au sua katulia tu hana presha.
test man said: Pw subiri kwanza watoe nimeona wanachokonoa watupie majina na link hiyo haifanyi kazi Click to expand... Mi nakwambia wewe, kwa jiwe una matumaini? Mwenye 1.3 yuko zake muhimbil au udsm au sua katulia tu hana presha.
test man JF-Expert Member Aug 13, 2016 1,013 948 Oct 17, 2019 Thread starter #7 Wewe tulia bro maisha haya ujue Honestty said: Mi nakwambia wewe, kwa jiwe una matumaini? Mwenye 1.3 yuko zake muhimbil au udsm au sua katulia tu hana presha. Click to expand...
Wewe tulia bro maisha haya ujue Honestty said: Mi nakwambia wewe, kwa jiwe una matumaini? Mwenye 1.3 yuko zake muhimbil au udsm au sua katulia tu hana presha. Click to expand...
The Humble Dreamer JF-Expert Member Oct 12, 2015 7,446 10,237 Oct 17, 2019 #8 test man said: Ww tulia bro maisha haya ujue Click to expand... Najua ila kwa jiwe hajui hilo! Msidanganyike na uchaguzi
test man said: Ww tulia bro maisha haya ujue Click to expand... Najua ila kwa jiwe hajui hilo! Msidanganyike na uchaguzi