Bratherkaka
Senior Member
- Apr 30, 2012
- 101
- 10
Haaaaaaa watu bhana narrow thinking, bado unahamu ya kuappeal aise pole sana kweli dunia imebeba Mingi!!!!!!!!!!!!!!!!
Naomba link mkuu.
Hivi wewe hujaenda bodi ya mikopo ndo maana unataka kuappeal aise pale wanasema Hivi jpm amepeleka hela nyingi sana ila wanataka kazirudisha kwenye mfoko wa hadhina hazina pa kwenda kwan wanafunzi wote wamepata mikopo, ndo uone sasa upuuzi wa bodi ya mikopo.
Hello!
Bodi yetu ya elimu ya juu inatakiwa kuwa ya mfano kwenye elimu yetu lakin naona ni tafauti kidogo, system imekuwa wazi tangu jana lakin bado kuna error cjui kwanini sasa mnaweka wazi kitu ambacho akifanyi kazi.. unajanza information zako zote still system inakwambia incomplete information. bado sio good system for real... registration system ilikuwa inakwambia kabisa what information bado ujamaliza lakin hii ni kisanga... i wish one day niwe system designer wenu.. nimekusoma mkopo bcs ya system yenu hadi leo. fanyeni marekebisho kwenye system zenu small error kama hiz zinatatulika.
Masihara hayo
Mi ndugu yangu
HANA BABA WALA MAMA YUPO MWAKA WA PILI MZUMBE HAJAPATA MPAKA SASA
yaani mimi mwenyewe mpaka sasa ni the same kama wewe lakini ikkubali kwako naomba unitaarifu na mimiHello!
Bodi yetu ya elimu ya juu inatakiwa kuwa ya mfano kwenye elimu yetu lakin naona ni tafauti kidogo, system imekuwa wazi tangu jana lakin bado kuna error cjui kwanini sasa mnaweka wazi kitu ambacho akifanyi kazi.. unajanza information zako zote still system inakwambia incomplete information. bado sio good system for real... registration system ilikuwa inakwambia kabisa what information bado ujamaliza lakin hii ni kisanga... i wish one day niwe system designer wenu.. nimekusoma mkopo bcs ya system yenu hadi leo. fanyeni marekebisho kwenye system zenu small error kama hiz zinatatulika.
hivi kama upo second year na ulisha appeal mara mbili ukiwa first year unaruhusiwa kuappeal tena kipindi hiki.