Loan allocation loading.....69% please keep on waiting

Loan allocation loading.....69% please keep on waiting

Top gun maverick

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2017
Posts
2,092
Reaction score
2,913
Habari wadau wa elimu jukwaa hili limekuwa msaada kwa wanafunzi wengi sana wenye shida mbalimbali.baada ya tatizo LA code kuisha limeibuka changamoto ya asilimia ngapi MTU anapewa kutoka HESLB maana walala hoi kama sisi ambao tupo katavi huku ndo tunategemea tujue asilimia ndo tuende udom. Sasa habari njema ni kwamba nimepokea SMS kutoka CRDB ikitaka nifungue scholar account katika branch zao huko Dodoma.hivo tuwe na subira kidogo asilimia soon inatoka .
 
Aisee, ningejua nimemuombea mdg angu, nafasi nyingine ya kuomba lini tena?
 
Mara nyingi majina yanayotoka first batch huwaga asilimia mia or sabin or sitin mpaka hamsini......ila baada ya hapo inaweza kuwa boom pekee ...hamna stationary wala field
 
Mara nyingi majina yanayotoka first batch huwaga asilimia mia or sabin or sitin mpaka hamsini......ila baada ya hapo inaweza kuwa boom pekee ...hamna stationary wala field
eti enhe
 
Mara nyingi majina yanayotoka first batch huwaga asilimia mia or sabin or sitin mpaka hamsini......ila baada ya hapo inaweza kuwa boom pekee ...hamna stationary wala field
Dah bro huu ukweli mchungu sana
 
Asilimia mtazijua soon mkifika chuo.....kuna stage ya loan board, kila mtu ataandikiwa ada anaylipiwa ......kama ni nusu unambiwa kamalizie kulipa .....
 
Wa mwaka jana waliotoka batch two na three walikumbana na tatizo la asilimia chache sna mpaka sifuri wengine............. wengine bila stationary... wengine bila field hapa ndio huw pagum kipindi cha field
 
Habari wadau wa elimu jukwaa hili limekuwa msaada kwa wanafunzi wengi sana wenye shida mbalimbali.baada ya tatizo LA code kuisha limeibuka changamoto ya asilimia ngapi MTU anapewa kutoka HESLB maana walala hoi kama sisi ambao tupo katavi huku ndo tunategemea tujue asilimia ndo tuende udom. Sasa habari njema ni kwamba nimepokea SMS kutoka CRDB ikitaka nifungue scholar account katika branch zao huko Dodoma.hivo tuwe na subira kidogo asilimia soon inatoka .
Sijaona uhusiano wowote wa hizo sms za CRDB na asilimia za mkopo wa HESLB.

CRDB wanatangaza na kuhamasisha watu wafungue akaunti kwenye Bank yao hususani hawa wanafunzi wapya.
 
Habari wadau wa elimu jukwaa hili limekuwa msaada kwa wanafunzi wengi sana wenye shida mbalimbali.baada ya tatizo LA code kuisha limeibuka changamoto ya asilimia ngapi MTU anapewa kutoka HESLB maana walala hoi kama sisi ambao tupo katavi huku ndo tunategemea tujue asilimia ndo tuende udom. Sasa habari njema ni kwamba nimepokea SMS kutoka CRDB ikitaka nifungue scholar account katika branch zao huko Dodoma.hivo tuwe na subira kidogo asilimia soon inatoka .
Sijaona uhusiano wowote wa hizo sms za CRDB na asilimia za mkopo wa HESLB.

CRDB wanatangaza na kuhamasisha watu wafungue akaunti kwenye Bank yao hususani hawa wanafunzi wapya.
 
huu utaratibu wa asilimia za bodi kujulikana mtu akishafika chuoni sio poa kabisa. ilitakiwa kabla hujaripoti chuo ili ajipange sijaona uhusiano wa ujumbe wa
crdb na mgawanyo wa loan
 
loanbreakdown nahisi had tar 29 ila Nakmbka walsema kila kitu ktakuwa OK b4 vyuo havijafnguliwa so nashangaa wengine j3 wanafungua sa sjui wanaendaje chuo. au walpe Ada tu
 
Back
Top Bottom