LNG plant in Lindi

SSH na TPDC nani ana taarifa sahihi zaidi? Kuna umuhimu gani wa kuingia mkataba mkubwa namna hiyo kwa dharura?
hakuna dharura, bali amesema mazungumzo yaendelee, kumbuka mama samia alikuwa makamu wa rais anajua kinachoendelea, na kwa nini mazungumzo yalikwana,0 na nani alikwamisha.
 

Sijakupata vizuri,
kwa hiyo hata kama wanatuibia tulainike tuu, au tukubali tuu. Tukumbuke usia wa Mwl. JK Nyerere. Maana wewe unazungumziaga karma au vitu kama hivyo. Tukiiuza nchi yetu, makaburi yetu hayatabaki salama. Kizazi kijacho, watakuja na magreda na kusambalatisha makaburi yetu yote, yaani tufutike kabisa katika historia. Kwa maana sisi tulikuwa washenzi tukauza urithi wao kwa mchuzi wa dengu.
 
hakuna dharura, bali amesema mazungumzo yaendelee, kumbuka mama samia alikuwa makamu wa rais anajua kinachoendelea, na kwa nini mazungumzo yalikwana,0 na nani alikwamisha.

Suala siyo nani alikwamisha. Bali ni nini kilikwamisha!!!?
 
hakuna nchi ambayo haina corrupt, kinachotakiwa ni kuwa na mkataba wenye maslahi kwa wote, sio kupinga kila kijtu anachofanya Rais, inawezekana kuna watu walikuwa na maslahi yao binafsi ndio maana ukachelewa!
Nani kasema kuna nchi isiyo na corruption? Corruption zinazidiana. Ni jukumu la viongozi kupigana kwa nguvu ili zipunguwe kabisa na kila anayekamatwa aadhibiwe.
 
Bado Mimi naamini hiki unachosema lkn tuwe wakweli 6yrs!!! tunajadili nini

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Muhimu awe na vision mlituletea dakitari wa mafuta ya korosho yalitokea sote tunajua

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Unamiaka mingapi tangu Uhuru umeweza nini mpaka Sasa

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
hakuna dharura, bali amesema mazungumzo yaendelee, kumbuka mama samia alikuwa makamu wa rais anajua kinachoendelea, na kwa nini mazungumzo yalikwana,0 na nani alikwamisha.
Kuna dharula, sababu ametoa agizo au amri mazungumzo yaishe, yeye anachotaka ni kuwafurahisha wawekezaji wampambe kwenye magazeti yao huko, hajali huo mkataba utawanufaisha Tz au lah, she’s so naive...
 
Si Baba Magu alisema huu mradi mabeberu wanachukua gesi na kupeleka kwao bila gesi kuwa na tija kwetu?
 
Unaingia kwenye tactful negotiations kwa shinikizo la kiongozi katika hayo majadiliano bargaining power si tayari umeshampa mwekezaji.
Na kumbuka, wengi wa hao 'negotiators' nao wana njaa ya kutambuliwa na uteuzi, au hata kupata chochote toka kwa hao wanao'negotiate' naye.

Anyways, ngoja tusubiri kuona anakosimamia huyu mama.

Hapo ni kama ametoa amri, 'negotiators' wetu walegee!
 
Bongo kila mtu mjuaji. Hata kila kama huyu naye ni mtaalamu kushinda walioko huko. Inasikitisha sana.
Hakuna negotiation rahsi. Mi Naona walikiwa kwenye right track. Yakitichachia siyo kwamba yanazaliwa Kwa Jirani then atupihe nao .Maza atulize JPM kaacha negotion team matata ambayo hatujawahi kuwa nayo kama haitabadirika
 
acha ujuaji, hujui Total waliposhindwana na Tanzania walienda kufanya huo uwekezaji Msumbiji. Samia amesema kama mradi umeshindikana ufutwe atafutwe mwekezaji mpya, miaka 6 una negotidte nini?
Hapana.

Siyo negotiation ya miaka 6, na wewe unajua hilo sio kweli.
Mazungumzo yalisimama kupisha marekebisho iliyotaka kuyafanya serikali kwenye uwekezaji wa aina hii; muda huo nao unauhesabu kama sehemu ya miaka 6?

Si hayo iliyonuia kurekebisha serikali ndiyo yamekuwa kikwazo kwa mazungumzo kuendelea?

Kwa hiyo, Samia anasemaje, anayatupilia mbali hayo yaliyokuwa yakifanywa na serikali, ili negotiation iendelee toka pale walipokuwa wamefikia kabla ya marekebisho ya serikali?

Haya ndiyo yanayotakiwa kujadiliwa vizuri. Tusiyavungevunge tu humu na kutaka kuaminisha wengine kuwa mazungumzo yalichukua muda mrefu bila ya matokeo.
 
Kwa hiyo wewe unaufahamu mradi huu kuliko yeye anayekomand vyombo mbalimbali vya serikali?

Acheni ujuaji wa kupitiliza na chuki zisizo na sababu.

Mumuache mama afanye maamuzi bila kumuwekea mashinikizo yasiyo na maana na vitisho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…