LLB ya Open University of Tanzania ina Course Unit ngapi?

ChamaDola

JF-Expert Member
Dec 23, 2016
3,432
2,804
Wakuu,
Naomba kufahamishwa course unit za LLB ya pale OUT!
Ziko ngapi kiujumla?
Mwaka wa kwanza mwanachuo hutakiwa kuzisoma ngapi?
Mwaka wa pili na watatu zinakuwa ngapi?
Natanguliza shukrani?
 
Wakuu,
Naomba kufahamishwa course unit za LLB ya pale OUT!
Ziko ngapi kiujumla?
Mwaka wa kwanza mwanachuo hutakiwa kuzisoma ngapi?
Mwaka wa pili na watatu zinakuwa ngapi?
Natanguliza shukrani?
Soma prospector ya chuo. Kama umeweza kuingia jf utashindwaje kuingia kwenye website ya chuo chako?. Huu ni uzembe na haioneshi kama kweli wewe ni msomi wa level.
 
Back
Top Bottom