LLB (Elimu ya Watu Wazima)

Ngoja ni-log off, mi nilidhani issue hi ya kweli kaka, nilianza hadi kukuonea huruma kabisa na i went further, nikaanza kumchukia kabisa mkeo na wanawake wote kwa ujumla wake, umenifanya nitende dhambi ya bure kabisa, Please nitake radhi Mentor, vinginevyo mara baada ya wewe kuoa tu, lazima nimtafute mkeo. Joke
 
umelog in?
 
Eti Heaven on Earth, kwanini umeiLIKE hii post???
 
Last edited by a moderator:
Fatma!!! Jina zuri sana (mama yangu)
Fatma wengi wanatabia nzuri sana tu.....sasa nkawa najiuliza huyu fatma wa Mentor ni fatma gani? Atakua tu fatma msitu lol....kumbe ndoto hehehehe...
 
Last edited by a moderator:
ha ha ha ndoto za ma barchelor tunaotaga kumegewa tu,ndo maana jinsi umri unavyoenda unakuwa chronic barchelor
 
Hata mimi Nalog off kama Washawasha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…