Ngoja ni-log off,
mi nilidhani issue hi ya kweli kaka, nilianza hadi kukuonea huruma
kabisa na i went further, nikaanza kumchukia kabisa mkeo na wanawake
wote kwa ujumla wake, umenifanya nitende dhambi ya bure kabisa, Please
nitake radhi Mentor, vinginevyo mara baada ya wewe kuoa tu, lazima
nimtafute mkeo. Joke