Haikatazwi japo kwenye sponsorship ulikuwa umejificha!! Naomba niwe shahidi wakati unamgea....unajua huyu ni malkia eeh? Lol
sikujificha kipipi! Majukumu yalikuwa mengi! I am serious naomba uwe shahidi wangu nikimkabidhi zawadi nyingine. Inamana sponsor ndo akajitokeza tsh 50,000? Acheni utani na keyboard. Nipm nitangaze dau langu!
Hongera sana Da' Lizzy, hakika wastahili na ninakutakia kila la kheri kwa kila utendalo.
Uwe na wakati mzuri.