Hahaha pole aisee. Mmetengana kabisa au mama kawa busy ni Forever? Maana ile kitu inahitaji commitment ya ajabu na kwa mke wa mtu ni mtihani especially kama akitaka kupata mafanikio ya fasta fasta. Ila ongea naye kwa utaratibu azingatie wajibu wake kwa familia kama mke. Mimi pia naifanya but my husband comes first sijaruhusu iniibie muda wa kuwa mke na mama nyumbani