The Stress Challengerr
JF-Expert Member
- Jan 18, 2020
- 2,478
- 6,764
Nimeamini Liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Ngusero
Dstv ndio wanaonyesha nini mzee baba?Nimeamini liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Dstv ndio wanaonyesha nini mzee baba?
👆naomba nijibu kiongozi, asanteHujui sheria za mpira wewe. Kipa akiwa nje ya 18 anahesabika kama mchezaji wa ndani. Kipindi mpira unapigwa De Gea alikua nje ya 18. 😂😂 kaa hivyo hivyo!
Azam hawaonyeshi mipira ya wanaumeMaana Azam holla
Mbona wewe umebebwa na VAR...ulikuwa unakufa tatu half timeNimeamini liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
So mpango mzima upo dstv sio?Azam hawaonyeshi mipira ya wanaume dada
Ndo manake.... EPL ni ligi yenye bei nzito... Inaongoza... Azam amejitutumua kuwaonyesha la ligaSo mpango mzima upo dstv sio?
Wewe mwenyewe hujui Sheria za mpira. Offside applies on opposition half. Salah alikuwa kwenye half yao wakati mpira umerushwa/umepigwa.Hujui sheria za mpira wewe. Kipa akiwa nje ya 18 anahesabika kama mchezaji wa ndani. Kipindi mpira unapigwa De Gea alikua nje ya 18. 😂😂 kaa hivyo hivyo!
Noma sana,Ndo manake.... EPL ni ligi yenye bei nzito... Inaongoza... Azam amejitutumua kuwaonyesha la liga
Cha bei ya chini 19,000/= unacheki hata boli... Sema inategemea ligi gani... Wewe si ungependa uone mubashara mechi zote za EPL?Noma sana,
Vip dstv kifurushi chao cha Mpira ni bei gan kiongozi?
Ndio mkuuCha bei ya chini 19,000/= unacheki hata boli... Sema inategemea ligi gani... Wewe si ungependa uone mubashara mechi zote za EPL?
Una walau ABC za uamuzi wa mpira wa miguu? De Gea alikuwa wapi mpira ulipopigwa na A.Becker? Usitafute presha ya bure.Nimeamini liver inabebwa goli la Salah dakika ya majeruhi offside ya wazi kabisa.
Ngusero
Hujui sheria za mpira wewe. Kipa akiwa nje ya 18 anahesabika kama mchezaji wa ndani. Kipindi mpira unapigwa De Gea alikua nje ya 18. 😂😂 kaa hivyo hivyo!
Hakuna kitu kama hicho. Wakati mpira unarushwa Salah alikuwa kwenye half yao. Hio ndio sababu hakuna offside.Yule mchezaji wa man u aliekuwa anamkimbiza ndiye fala! si angesimama tu ili iwe clear offside! View attachment 1327946