Live Updates:Chelsea vs Atletico Madrid

Atm wakizubaa watapigwa bao 1 tu kisha wanakumbana na mabehewa ya mizigo
 
Leo chls wanafunguka kwa kiasi fulani ila wakipata goli ladha yote ya mpira itapotea kama mumjuavyo jose
 
Atm wakizubaa watapigwa bao 1 tu kisha wanakumbana na mabehewa ya mizigo

kie kie kie kie kie........... mkuu unanivunja mbavu wewe, na huko MOI madaktari wamegoma cjui nitatibiwaje
 
hii style ya atl imeisha mkalili jamaa yangu mou..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…