Ni kweli, mimi niliwalaani Chadema tangu walipomtimua! .
Mimi sina chama ila Chadema ni chama chenye matumaini mazuri ila kinakabiliwa na udhaifu mkubwa sana ya kukosa viongozi wenye busara na kuna vichaa mule wanasikilizwa sana. Kama wasinge timuana timuana combination ya team work ya Zitto, Kafulila na JJ. Nnyika, J. Shonza, Mdee kule Bungeni, moto ungewaka na huku nje ya Bunge, nyasi zingewaka moto. Baada ya kutoka Zitto, Mdee, Mnyika wanapwaya, Zitto nae anapwaya, Shonza nae japo kaingia Bungeni lakini hakuna kitu kabisa! .
Kuna watu wanaperform wonders kwa simbiosis relationships za team work, wakiwa independently they are nothing.
Paskali