pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Acha kujiabisha bure, hizo dhahabu na hela zilinaswa zikisafirishwa na mtanzania mwenzenu kwa jina Patrick Ayisi Ngoi. Alizipitisha kutoka Mwanza kwa ushirikiano na mafisadi kutoka kwa vitengo vyenu vya usalama. Wazee wa ndemi na mathathi hawakukosea waliposema kwamba kikulacho ki nguoni mwako.Wakenya walikuwa wanasema tz tunaichukia Kenya bila sababu sababu ilikuwa ni hii serikali ya Kenya na mafisadi wa kimataifa waliokuwa wamejificha Kenya huku wakishilikiana na serikali ya Kenya kuujumu tz ,Ila kwaili inaonyesha Kenya imeanza kuonyesha njia njema