Paul Mabuga
Member
- Nov 25, 2010
- 10
- 2
Habari waungwana! Mjadala Mkuu Jumatano ya leo ni:
Je, uwekezaji katika soka Tanzania una tija? Rasilimali zinazowekezwa kwa maendeleo ya soka dhidi ya hali halisi ya vilabu vyetu. Karibuni mchangie.
Kumbukeni kuwa leo ni siku ya Big Match -- Simba na Yanga.
Kwa majadala mwepesi: kati ya saa 12 as hadi saa moja asubuhi;
Je Makocha wazalendo wakilipwa mshahara wa shilingi milioni 20 kwa mwezi soka la Tanzania litakuwa kama Ulaya?
Tafadhali anza kuchangia
Je, uwekezaji katika soka Tanzania una tija? Rasilimali zinazowekezwa kwa maendeleo ya soka dhidi ya hali halisi ya vilabu vyetu. Karibuni mchangie.
Kumbukeni kuwa leo ni siku ya Big Match -- Simba na Yanga.
Kwa majadala mwepesi: kati ya saa 12 as hadi saa moja asubuhi;
Je Makocha wazalendo wakilipwa mshahara wa shilingi milioni 20 kwa mwezi soka la Tanzania litakuwa kama Ulaya?
Tafadhali anza kuchangia