Pendekeza solution Kwa wasomao Ili waepuke kwenda huko kuzimu ya moto Mahali pa kutisha na mateso.Niongzee
kuzimu hamna maji milele
hewa ya oxygen mlele
ni giza
joto ni kali sana ukikanyaga chn unaacha nyama
moshi mwingi
kelele nyingi
Mfungwa siku zote
Funza wakali
Hakuna muda,ndo umilele unapo kuja hapo.
Solution ni moja tu,, kuna kitu ni kikuu kuliko Mungu elohim mwenyewe ni neno lake tu, Kulipindua au kulilegeza kidogo inamdai sadaka ya dam itayo muuma sana atoe kwenywe realm ambayo aliitengeneza yeye akaipa roho na sheria itamdai sadaka, sasa either Yesu aje ateswe tena mara saba zaidi, au wale wanne wenye uhai au matherafi wote au makerubi wote Au Michael amor angle awe mali ya Lucifer Deni la kuzimu kwa dam ya wanadamu litakuwa limelipwa
acha kulaghai watu kwa story za vijiwe vya kahawa Dhambi ni kutomwamini Yesu Kristo kua ni YEHOVA kumbuka dhambi ni uasi yaani kumkana Mungu mfano ni Adam alipokubali drama za Ibilisi akaanguka dhambini katika agano jipya Yesu ndie Adam wa Pili kupitia yeye tulipata ukomboziMada hii haiwahusu Mapepo katika FOMU ya kibinadamu.
Naongea wa WANADAMU, Wana wa Mungu Walio hai ambao wako katika Utumwa wa dhambi Ili WATUBU na kuacha DHAMBI Ili wakilala MAUTI waende Mbinguni na kuepuka Kuzimu ya moto!!
Endelea kujidanganya.n
acha kulaghai watu kwa story za vijiwe vya kahawa Dhambi ni kutomwamini Yesu Kristo kua ni YEHOVA kumbuka dhambi ni uasi yaani kumkana Mungu mfano ni Adam alipokubali drama za Ibilisi akaanguka dhambini katika agano jipya Yesu ndie Adam wa Pili kupitia yeye tulipata ukombozi
kingine hakuna mtu atakayemkiri Yesu kua Bwana atahukumiwa kwa sababu atakua amepata haki kumbuka si kwa matendo ya sheria
hapa ndipo wahubiri mazuzu wamewapiga Kamba waumini wao kwa maelfu ya miaka
wakihubiri waache dhambi huku wakiangalia matendo na mienendo ya watu,
pamoja na tabia binafsi kitu ambacho ni wrong angalia kile Yesu anahubiri kwa miaka 3 kuhusu ufalme wa Mungu vile vile angalia wanafunzi wake hawakujikita kuhubiri matendo ya sheria bali Neema ya Mungu kwa wote watakao mwamini mwana wa pendo lake
nyingine mbwembwe tu kumbuka Abram alihesabiwa haki bila matendo
sisi tuliemwamini Kristo ni zaidi na ndio maana tumepewa Roho mtakatifu wa kutuongoza kujua hii ni wrong na hii ni right na hata ukuharibu huhesabiwi makosa sababu yalishalipiwa na mbele ya Mungu wewe ni mtakatifu milele na ndio maana Yesu alitoa mfano wa mchungaji mwema yaani hata ukijizima data kujifanya humjui na ni mmoja wa familia yake hata ukiwa mhuni uliekubuhu ipo siku atakubeba na kukuutoa huko within a second na hili ndilo lilikua agano lake kwetu tumwaminio na ndio maana mimi nikiona wakristo wanafanya vioja hua nacheka na kuwaombea mema tu maana najua ni wetu tu
hakuna mtu atapotea chini ya Kristo never!
Ingekuwa uyasemayo ni Kweli,n
acha kulaghai watu kwa story za vijiwe vya kahawa Dhambi ni kutomwamini Yesu Kristo kua ni YEHOVA kumbuka dhambi ni uasi yaani kumkana Mungu mfano ni Adam alipokubali drama za Ibilisi akaanguka dhambini katika agano jipya Yesu ndie Adam wa Pili kupitia yeye tulipata ukombozi
kingine hakuna mtu atakayemkiri Yesu kua Bwana atahukumiwa kwa sababu atakua amepata haki kumbuka si kwa matendo ya sheria
hapa ndipo wahubiri mazuzu wamewapiga Kamba waumini wao kwa maelfu ya miaka
wakihubiri waache dhambi huku wakiangalia matendo na mienendo ya watu,
pamoja na tabia binafsi kitu ambacho ni wrong angalia kile Yesu anahubiri kwa miaka 3 kuhusu ufalme wa Mungu vile vile angalia wanafunzi wake hawakujikita kuhubiri matendo ya sheria bali Neema ya Mungu kwa wote watakao mwamini mwana wa pendo lake
nyingine mbwembwe tu kumbuka Abram alihesabiwa haki bila matendo
sisi tuliemwamini Kristo ni zaidi na ndio maana tumepewa Roho mtakatifu wa kutuongoza kujua hii ni wrong na hii ni right na hata ukuharibu huhesabiwi makosa sababu yalishalipiwa na mbele ya Mungu wewe ni mtakatifu milele na ndio maana Yesu alitoa mfano wa mchungaji mwema yaani hata ukijizima data kujifanya humjui na ni mmoja wa familia yake hata ukiwa mhuni uliekubuhu ipo siku atakubeba na kukuutoa huko within a second na hili ndilo lilikua agano lake kwetu tumwaminio na ndio maana mimi nikiona wakristo wanafanya vioja hua nacheka na kuwaombea mema tu maana najua ni wetu tu
hakuna mtu atapotea chini ya Kristo never!
kijan kuingia mbunguni step ya kwanza inabidi waowe au kuolewa, sasa hawa kataa ndoo ni pepo watupu🤣🤣,Pendekeza solution Kwa wasomao Ili waepuke kwenda huko kuzimu ya moto Mahali pa kutisha na mateso.
Kumbe ukivuta bangi unakufa sijawahi kujua..[emoji28], umejaribu kufuatilia Nchi ambazo zinaitumia hiyo bangi kama dawa?Kumwambia mtoto ukiendelea kuvuta bangi na madawa ya kulevya kuwa hatari inayomkabili mbele ikiwa ataendelea ni kifungo, kuwa mwehu au kufa ni kumtisha?
Kwahyo bangi kama dawa ktk hzo nchi inavutwa kama sigara kubwa?Kumbe ukivuta bangi unakufa sijawahi kujua..[emoji28], umejaribu kufuatilia Nchi ambazo zinaitumia hiyo bangi kama dawa?
Ubarikiwe pia.Ndugu Rabbon mimi nakushauri usijibishane na watu. Continue to be calm. Lete hayo mafundisho mwenye kuyachukua atayachukua na mwenye kuona ni uongo na taharuki na kutishana anaachana na hayo mafundisho na pia zipo nyuzi zingi tu watu wanaweza kwenda kuchangia zile za kutiana Moyo na zisizo na makwazo kwao kama za kimasihara, n.k
Ila kupitia hii platform nimeona mioyo ya Farao ikitenda kazi live bila chenga, pamoja na ya mpinga Kristo. Na kwa hakika nachokiona Injili ngumu kwa watu kizazi hiki hawazitaki.
Ukitaka kukosana na Mtu kizazi cha leo mwambie ACHA DHAMBI na mpe matokeo ya dhambi utapingwa na kila aina ya mafundisho. Na wamejaa akili za kipagani za kuhalalisha dhambi zao kama pombe, uzinzi, n.k ndio maana Injili za kipepo za sasa hazikemei dhambi kabisa ni mafanikio tu ndio agenda na kutiana false hope kama wengine humu wanavyotaka.
Namaliza kwa kukuomba mkuu kama mna group la WhatsApp la Kujifunza neno la Mungu Naomba nijiunge. Ubarikiwe
Hakuna mavuno hapo,huo ni uongo mtupu na hadithi za wapumbavu.Ubarikiwe pia.
Adui mbaya ni yule wa nyumbani mwako, wanaonipinga Kwa nguvu ni mafarisayo watu wa Dini wasioamini Roho mtakatifu,kunena Kwa lugha na mafunuo ya Roho MTAKATIFU.
Anyway, vita ni LAZIMA katika kuhubiri.
Nitakuwa zaidi JF nikihubiri Kwa mada mbalimbali maana hapakuwa na mtendakazi serious ktk shamba hili.
Nimeiona mavuno mengi hapa.
Amen
Hapo hatangazi mabaya ta shetani Ila anamu expose shetanii ...pia unatakiwa utambue haumcrash yeye Bali Una mcrush Holly spirit aliye ndani yake Sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuona mambo kama hayo isipokua ana Holly spirit ndani yakeHakuna mavuno hapo,huo ni uongo mtupu na hadithi za wapumbavu.
Mbona haujibu maswali ukiulizwa?,mbona unaona kuongea kwa lugha za kukaririka ndio wokovu?,
Eti Mungu anatangazwa kutumia mabaya ya shetani,upumbavu mtupu!
Unaita wenzako mafarisayo ilihali wewe ni mtu uliyejikinai,unajiona uko sahihi tu,kama unajiamini kwenye haya mafundisho yako si ujibu maswali kwa nukuu?,
Unasema vita ni lazima katika kuhubiri,hivi kweli umepitia ulichokiandia ukaona mahubiri ndani yake?,tofauti yako wewe na mchawi ni ipi sasa🤔🤔
Imani za kusadikika zinawafanya mjisahau sana!
Umeanza kunitisha eti namcrush roho mtakatifu,acha uongo mkuu!Hapo hatangazi mabaya ta shetani Ila anamu expose shetanii ...pia unatakiwa utambue haumcrash yeye Bali Una mcrush Holly spirit aliye ndani yake Sababu hakuna mwanadamu anayeweza kuona mambo kama hayo isipokua ana Holly spirit ndani yake
acha kua mjinga na fool Mbingu sio Mahali ni hali huko ni spiritual realm acheniEndelea kujidanganya.
Tangu uanze kusoma BIBLIA ,umewahi soma popote Malaika amemtokea mtu akiwa amevaa mini skirt? Au kavaa mlegezo?
Dressing code Mbinguni ni nguo ndefu za Heshima.
Inawezekana vipi uokoke halafu Roho mtakatifu asikusemeshe kuvaa Kwa staha?
Yaani umeokoka na upande madhabahuni na mini skirt na utuambie Mungu anaangalia moyo, hatizami mavazi?
Kuokolewa Kwa Neema, hakumpi aliyeokolewa tiketi kudumu dhambini.
Maisha ya utakatifu ndiyo yatakupa kupita GETI la Mbinguni.
La, kuzimu ya moto inakuhusu!!!
sikiliza wewe Anania na Safira walivunja masharti ya maombi ya mapatano kumbukaIngekuwa uyasemayo ni Kweli,
Anania na saphira mkewe Roho mtakatifu asingewaua madhabahuni waliposema uongo juu ya sadaka ya shamba walilouza.
Ukisoma kitabu cha Yohana 8:44 Yesu alikua anmuexpose shetani kwamba Ni muuaji muongo Na baba wa uwongo...Mtoa Mada anachofanya Ni kumuexpose shetani Na kazi zake Sababu Bible inasema hakuna Neno lililositirika ambalo halitafunuliwa ...Mtoa Mada anafunua Yale yaliyositirika ambayo Ni Ya huko kwenye kingdom of darkness...pia bible inasema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa Mtoa Mada anatoa maarifa kuhusu kingdom of darkness Na namna ulimwengu unavoenenda katoka Giza Sababu Ya kukosa maarifaUmeanza kunitisha eti namcrush roho mtakatifu,acha uongo mkuu!
Katika biblia yote,kinachotakiwa ni kuihubiri habari njema kwa kusema neema ya Kristo na kazi zake kwetu,ndio uhubiri unavyotakiwa kuwa yaani mahubiri yabebe ujumbe wa Mungu sana.
Nani anamjua shetani vizuri zaidi ya Yesu mwenyewe,ila mbona ametumia muda mwingi kuelezea ufalme wa mbingu sio mabaya ya shetani,ila nyie eti mnasimulia kuzimu kulivyo,tena kwa uongo wa wazi kabisa kiasi mkiulizwa maswali hamjibu mnataka muaniwe tu.
Acheni kupotosha watu,sio kuwa wote wanaokataa uhubiri wenu wanamkataa Mungu,la hasha,nakataa upotovu wa kumtangaza Mungu kwa njia hii.
Soma warumi 8:11acha kua mjinga na fool Mbingu sio Mahali ni hali huko ni spiritual realm acheni
kudanganyana nyie wajinga hakuna time wala space,
no taste in Heaven ulimwengu wa Roho upo point zero kutoka ulipo it means upo ndani yako hili ndilo fumbo alilokuja kulifumbua Yesu kuhusu Uungu
hebu soma maana ya Heaven ndio uje unipige kamba au lete andiko
katika agano jipya Mungu anakaa ndani yetu na ukiongea naye ni sawa unaongea mwenyewe na ndio maana mtu akifurika Roho mtakatifu anabubujika katika spiritual realm kwa vission na anakua hapa hapa kimwili ila kiroho anaingia dimension nyingine
siongei vitu bila experience mimi ni healer hua na practise with my member family hii kitu ni weird na huwezi ielezea ki local kama hivi
sijui kwanini mpaka leo watu ni fool hamjui namna ya kuatach na Spiritual power mmeshikilia hadith za kijinga wakati kwenda field ni easy
Mungu hayupo kama wengi wanavyo muelewa na kumwelewa
yeye ni Pure love the taste of rest katika ufalme wake
njoo upewe elimu ya kujitambua ndugu utakua tofauti na unavyofikiri kuhusu Uungu!
Soma Na 1 Corinthians 2:11acha kua mjinga na fool Mbingu sio Mahali ni hali huko ni spiritual realm acheni
kudanganyana nyie wajinga hakuna time wala space,
no taste in Heaven ulimwengu wa Roho upo point zero kutoka ulipo it means upo ndani yako hili ndilo fumbo alilokuja kulifumbua Yesu kuhusu Uungu
hebu soma maana ya Heaven ndio uje unipige kamba au lete andiko
katika agano jipya Mungu anakaa ndani yetu na ukiongea naye ni sawa unaongea mwenyewe na ndio maana mtu akifurika Roho mtakatifu anabubujika katika spiritual realm kwa vission na anakua hapa hapa kimwili ila kiroho anaingia dimension nyingine
siongei vitu bila experience mimi ni healer hua na practise with my member family hii kitu ni weird na huwezi ielezea ki local kama hivi
sijui kwanini mpaka leo watu ni fool hamjui namna ya kuatach na Spiritual power mmeshikilia hadith za kijinga wakati kwenda field ni easy
Mungu hayupo kama wengi wanavyo muelewa na kumwelewa
yeye ni Pure love the taste of rest katika ufalme wake
njoo upewe elimu ya kujitambua ndugu utakua tofauti na unavyofikiri kuhusu Uungu!