Kwa wale mwenye tv heb angalieni citizen tv naona watu wanao omba nafasi ya deputy chief justice wa kenya wanaojiwa live! Aise na sisi inabidi iwe hv na si rais anaamka asb anasema kamchagua flan kua jaji mkuu,IGP,cjui nn! Saiv kenya wenzetu wanatangaza watu wana apply zen interview zinaonyeshwa kwenye tv kila mtu aone!
sijui tupigane na sisi ili haya mambo yafanyike hv jaman?dahhhhhh
sijui tupigane na sisi ili haya mambo yafanyike hv jaman?dahhhhhh