Mkuu tujulishe juu ya malalamiko niliyoyasikia toka wapo radio fm 98.00 kupitia kwa mtangazaji wake anton joseph akimuhoji nasari kuwa mawakala wa cdm km wa vituo 6 ivi walizuiwa kuingia vituoni, vipi ili tukio limejitokeza pia apo au kuna unalolijua??