Live:hali katika vituo arumeru shwari

Status
Not open for further replies.
Ndugu yangu naona umeamua kuripoti kwa mahaba mazito angalizo jioni ya leo usije na kauli tofauti, wapiga kura wenyewe hata laki moja na nusu hawafiki 80,000 ni CCM. endelea kuwajaza wenzako matumaini.

Wape wapeee vidonge vyao wakimeza wakitema CCM kiboko yaaaaaoooooo!!
 

Ni kweli mkuu hilo limetokea katika maeneo ya mji mwema,mbuguni,ngarenanyuki,nshupu mawakala walichelewa kuruhusiwa kuingia kwenye vituo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…