Swala la kufilisiwa ni kwa mujibu wa sheria, huwezi kutaka kila muhalifu ahukumiwe kunyongwa wakati hukumu yake kwa mujibu wa sheria ya bunge ni kifungo cha miaka 10 hadi 35
Ujui kitu nyamaza, maamuzi ambayo spika anaweza kuyashughulikia mwenyewe ni yale ambayo watuhumiwa wake wapo kwenye mamlaka ya bunge, mambo ambayo yapo serikalini spika lazima aiachie serikali, mambo ya wizara ya nishati na madini ni mambo ya serikali