Napoleone
JF-Expert Member
- Apr 11, 2012
- 10,087
- 15,961
Aisee! Nakumbuka maisha yalikua magumu sana nilipokua seminari
Sio sababu ya msosi au nini, seminari msos ulikua mzuri, ila ratiba zilikua taiti sanaa.
Ukizingatia 50% ya muda wako shule unashinda church aiseeeee
Ila nashkuru nilitoka na wani kali mnoo
Ila maisha yalikua magum sana kwa sis watoto tuliokua watukutu, adhabu kila siku.
Ukiongea Kiswahili tabu, aisee!
Adhabu za kwenda kulima ni kama kunywa maji. Tulikua na mashamba ya matunda ila ukichuma hata kapera ukikutwa ni adhabu kali mnoo, matunda yaanguka yanaoza. Aiseee!
Ila haka kadude nilipokagundua. Kalifanya maisha yakawa mazuri mno, ukifika mda wa taa kuzimwa, basi nafurahi snaaa. Namskiliza diva au Radio Free Africa, hadi saa tisa za usiku.
Nilikua nasoma huku naskiliza mzik na mambo yanaenda. Akili hyo sasa hiv sina.
Thank you little pocket radio for making life easy enzi hzo.
Uzi tayari
Sio sababu ya msosi au nini, seminari msos ulikua mzuri, ila ratiba zilikua taiti sanaa.
Ukizingatia 50% ya muda wako shule unashinda church aiseeeee
Ila nashkuru nilitoka na wani kali mnoo
Ila maisha yalikua magum sana kwa sis watoto tuliokua watukutu, adhabu kila siku.
Ukiongea Kiswahili tabu, aisee!
Adhabu za kwenda kulima ni kama kunywa maji. Tulikua na mashamba ya matunda ila ukichuma hata kapera ukikutwa ni adhabu kali mnoo, matunda yaanguka yanaoza. Aiseee!
Ila haka kadude nilipokagundua. Kalifanya maisha yakawa mazuri mno, ukifika mda wa taa kuzimwa, basi nafurahi snaaa. Namskiliza diva au Radio Free Africa, hadi saa tisa za usiku.
Nilikua nasoma huku naskiliza mzik na mambo yanaenda. Akili hyo sasa hiv sina.
Thank you little pocket radio for making life easy enzi hzo.
Uzi tayari