List ya viongozi wenye uwezo mdogo

List ya viongozi wenye uwezo mdogo

Ngengemkenilomolomo

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2015
Posts
313
Reaction score
533
Wakuu hii ndo list ya viongozi ambao nazidi kuona wana uwezo mdogo na hawatoshi katika nafasi zao
1: Chalamila
2. Msando
3. Nchemba
4. Tarimba
5. Muliro

Nimejiridhisha kutokana na kauli zao wanaongea ili kumfurahisha mtu fulani, hawaoni aibu wala haya
Ongezea wengine
 
Wakuu hii ndo list ya viongozi ambao nazidi kuona wana uwezo mdogo na hawatoshi katika nafasi zao
1: Chalamila
2.Msando
3.Nchemba
4.Talimba
5.Muliro
Nimejiridhisha kutokana na kauli zao wanaongea ili kumfurahisha mtu fulani,hawaoni aibu wala haya
Ongezea wengine


Watumieni salamu mkipata nafasi
 
Wote hao vilaza ma ngwini.Kiongozi makini anatakiwa awe amesoma Physics. Akitumia zile principles lazima atakuwa kiongozi mzuri.Lazima ataangalia possible consequences za action au maamuzi yeyote yale.Ila hawa viongozi wa Tanzania wanakirupuka tu
 
Wakuu hii ndo list ya viongozi ambao nazidi kuona wana uwezo mdogo na hawatoshi katika nafasi zao
1: Chalamila
2.Msando
3.Nchemba
4.Tarimba
5.Muliro

Nimejiridhisha kutokana na kauli zao wanaongea ili kumfurahisha mtu fulani,hawaoni aibu wala haya
Ongezea wengine
Yani Samia,Igp wambura,generali mkunda wamekosekana?
 
Wakuu hii ndo list ya viongozi ambao nazidi kuona wana uwezo mdogo na hawatoshi katika nafasi zao
1: Chalamila
2.Msando
3.Nchemba
4.Tarimba
5.Muliro

Nimejiridhisha kutokana na kauli zao wanaongea ili kumfurahisha mtu fulani,hawaoni aibu wala haya
Ongezea wengine
Unamuachaje kiongozi wao mkuu
 
Wakuu hii ndo list ya viongozi ambao nazidi kuona wana uwezo mdogo na hawatoshi katika nafasi zao
1: Chalamila
2.Msando
3.Nchemba
4.Tarimba
5.Muliro

Nimejiridhisha kutokana na kauli zao wanaongea ili kumfurahisha mtu fulani,hawaoni aibu wala haya
Ongezea wengine
Msigwa
Polisiccm
Haji Omary kheri
Maccm
Bakwataccm
 
Mwigulu ilibidi awe namba moja hapo, sijui Tanzania tuna mikosi kiasi gani? Huyu mwigulu kwa jinsi anavyoongea hakupaswa kuwa hata mjumbe wa nyumba 10...

Shenzi zake kabisa
 
Back
Top Bottom