General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
mtapata yesu akirudiTunachokitafuta ni kuondolewa kwa Double standard za wazi kabisaa hivi ni lini tutapata!!?
ova
mtapata yesu akirudiTunachokitafuta ni kuondolewa kwa Double standard za wazi kabisaa hivi ni lini tutapata!!?
Hinitamsilia sasa hivi tupo sizoni yangapi vile hebu wafuatiliaji nikumbusheni hukukwetu umeme ulikatikaNi maigizo kwa kwenda mbele katika awamu ya tano
Mwenzenu kaona jina lisilo na bahati alilopewa utotoni kaamua kubadili. Nongwa iko wapi hapo? Lichukuwe wewe basi? Nikikuambia unaking'ang'anizi cha kitaahira unaona nakuonea. Utaahira ni uwezo mdogo kabisa wa kiakili.uwe unasoma ulichokiandika kabla ya kupost hilo neno utahira unalipenda na siku zote mchawi humjua mchawi ww utakuwa taahira ndiyo maana kila anayemkosoa magufuli unamuona taahira jaribu kujitambua kidogo ujue kuwa ukipiga vita vyeti feki vya boss wako kihiyo mkuu Daud Albert bashite utakuwa umemsaidia Rais magufuli kuondokana na lawama ya kitaifa.
Naona ni kwenda kula ugaliwabureKuna kitu mnakitafuta mtakipata
Unataka chama cha nanii kitawanyike?angalau lissu amesema. ukaguzi wa vyeti huende kote hata kwa wabunge,madiwani na mawaziri. ni kosa kubwa kuweka ubaguzi kwa jambo hilo...
nilishakuambia mapema kuwa uwezo wa Akili hupimwa na mchepuko wako?au hupimwa kwa kumteea Daud Bashite? Kwa ujinga wako unadhani ukimtetea Daud Bashite utaonekana una Akili.Mwenzenu kaona jina lisilo na bahati alilopewa utotoni kaamua kubadili. Nongwa iko wapi hapo? Lichukuwe wewe basi? Nikikuambia unaking'ang'anizi cha kitaahira unaona nakuonea. Utaahira ni uwezo mdogo kabisa wa kiakili.
Pesa za 10% ununuzi wa ndege cash zinapitia huko.Bashite ndo kapu la kuhifadhia ufisadi wa baba J.
Ukawa walishinda 2015 lakini kikundi cha uchakachuaji kikafanya yake na Kumbuka 2020 kikundi kitakuwepo pia.Ukawa msifanye kosa 2020, Mwekeni lisu apambane NA MZEE WA kaya.
Gujalati yawezekana wewe sio mtz nahisi ulizaliwa kwenye mojawapo ya kambi za wakimbizi zilizopo hapa tz. Kwani upupu wako siku zote haufanani hata na mtoto wakitz aliehitimu shule ya msingi.Dawa yake ni prof kabudi. Lisu anamgwaya sana hana hamu naye kabisa mana alimtykana eti his level of appreciation is diminishing" . Anaomba mungu kabudi afe leoleo ili aendelelee kuwanyanyasa wabunge wasiojua japo yeye mwenyewe ni mweupe
Ndugu yangu Akasankara umenikumbusha mbali sana na hiyo attch yako.Hizi Akili za Ki-CCM zitaangamiza Taifa letu
View attachment 502956
atalazimika kumtumbua sababu bashite atalazimika kutumikia kifungo cha miaka saba gerezani.Hata kama ikithibitika na mkulu kwamba real Bashite ana vyeti feki, bado hawezi mtumbua kwa sababu nafasi yake inahitaji kujua 3K tu.
Pesa za viwanda zinatumika kumlinda kihiyo mkuu Bashite yaani Le mutuz na kikundi chake cha wajinga wajinga akina Msororo69 a.k.a tahira wanatumia pesa nyingi kumtetea Kihiyo Bashite ni pesa ambazo zingeweza kujenga Hosptal za rufaa Dodoma, iringa, Lindi na Chato na kujenga chuo kikukuu kingine kikubwa lakini zinapotelea kwa waganga wa kienyeji na vikundi vya Utetezi mitandaoni.halafu nimeshangaa kidogo,rais anajua kabisa kugushi ni jinai lakini kawapa siku 15 waache kazi wenyewe halafu hakuna kesi,do you know what i am thinking?anataka kutumia kigezo cha kuwaachia hawa ili na bashite naye asifikishwe kortini