Maganga Mkweli
JF-Expert Member
- Jul 14, 2009
- 2,089
- 829
wakianza kugombania uenyikiti lugha zitabadilika tu...
Ndugu ayo yoote unayosema ndio ile hali ya kubatizwa kwa moto. Kama alivyosema mzee makamba, Tanzania tulimuomba Mungu atupe Rais anaye simamia utendaji wa serikali na tumempata. Ukawa katika kipindi iki cha miaka 5 wasitarajie watakaa meza moja na Magu kujadili mambo ambayo kimsingi wanayaanzisha ili kupima upepo, wataumia. Alisha sema yeye ajalibiwi baatinzuri ilo wameliona. Msisitizo : Msimjaribu Magu mtaumia ndiomaana kanyamaza alikua anasubiri mumjalibu ili awape majibu.Ata mzee Tembo wa siasa analijua ilo.UKUTA haujavunjika ukivunjika hata kifusi dili, Nina miaka 30 ndani ya jiji LA Dar sijawahi ona panic kubwa kiasi hiki, si police, mwanasheri Mkuu, Mkuu wa mkoa na wengine kisa tamko?!!!!! Wawaache mbona JK aliwamudu vizuri tu.
Wanasiasa wa aina Tundu Lissu wameishagundua kuna kundi la Watanzania wajinga ambao hata kama ikiwaambia lolote watakubali/kuamini.
Siasa za aina hiii ndizo zinawafanya waishi maisha ambayo watanzania ni wengi hawana hata ndoto ya kuyaishi.
Leo hii Lowassa anapambwa kila aina ya mapambo ili tu uamuzi na kauli zao zionekane ziko sahihi.
Tanzania is unique country!
Wanasiasa wa aina Tundu Lissu wameishagundua kuna kundi la Watanzania wajinga ambao hata kama ikiwaambia lolote watakubali/kuamini.
Siasa za aina hiii ndizo zinawafanya waishi maisha ambayo watanzania ni wengi hawana hata ndoto ya kuyaishi.
Leo hii Lowassa anapambwa kila aina ya mapambo ili tu uamuzi na kauli zao zionekane ziko sahihi.
Tanzania is unique country!
Na ujinga mzuri ni upi na huwa unabeba neno gani na lenye helufi ngapi?Hakuna ujinga mbaya zaidi ya huu wa watu kuhamaki kwa tamko tu la kisiasa lililobebwa na neno lenye helufi tano tu la "UKUTA!!"
Ni ule wa kulinda na kuheshimu SHERIA na KATIBA ya nchi sawa na helufi 12 tu....wewe unakuwa mjinga makini na jasiri!!Na ujinga mzuri ni upi na huwa unabeba neno gani na lenye helufi ngapi?
Ninashukuru kwa kunielimisha!Ni ule wa kulinda na kuheshimu SHERIA na KATIBA ya nchi sawa na helufi 12 tu....wewe unakuwa mjinga makini na jasiri!!
Nashukuru kwa kutusaidia kuujua uwezo wa akili yako.Ubongo ufuto.Viongozi na wabunge wa chadema kama mbowe,msingwa,lemma,lisu kwa muda mrefu sana wamekuwa wakitake advantage ya ujinga na upumbavu wa wanachagadema kuwageuza na kuwachezesha vile wanavyotaka wao..yaan hata leo hii mbowe anaweza kusema mavi yaliyopo chooni ni chakula na wanachama wake wakayagombea na kula bila wasi wasi wowote..kweli unyumbu ni kilema
Viongozi na wabunge wa chadema kama mbowe,msingwa,lemma,lisu kwa muda mrefu sana wamekuwa wakitake advantage ya ujinga na upumbavu wa wanachagadema kuwageuza na kuwachezesha vile wanavyotaka wao..yaan hata leo hii mbowe anaweza kusema mavi yaliyopo chooni ni chakula na wanachama wake wakayagombea na kula bila wasi wasi wowote..kweli unyumbu ni kilema
hauhitaj hasira huu mchezohakikka huu ni uchochez mkuu..inabidi aitwe kujieleza
sawa magwangalaLisu ni mgonjwa wa akili by kigwangala
Anapambwa hadi na ccm"Lowasa ni muungwana"Wanasiasa wa aina Tundu Lissu wameishagundua kuna kundi la Watanzania wajinga ambao hata kama ikiwaambia lolote watakubali/kuamini.
Siasa za aina hiii ndizo zinawafanya waishi maisha ambayo watanzania ni wengi hawana hata ndoto ya kuyaishi.
Leo hii Lowassa anapambwa kila aina ya mapambo ili tu uamuzi na kauli zao zionekane ziko sahihi.
Tanzania is unique country!