ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 555
Wana jf, nadhani ni wazima wa afya na mungu atawajalia kuona mwaka mpya 2013! Wakuu nasikia kamanda Tundu Lissu bado yupo Songea, kusini mwa Tanzania akiwazibua masikio wananchi.
Na leo inasemekana atahutubia mkutano mwingine eneo la mshangano nje kidogo mwa manispaa ya Songea!
Tunaomba makamanda waliopo songea watujuze kinachoendelea huko! Mungu awabariki wote katika kuupokea mwaka mpya!
Na leo inasemekana atahutubia mkutano mwingine eneo la mshangano nje kidogo mwa manispaa ya Songea!
Tunaomba makamanda waliopo songea watujuze kinachoendelea huko! Mungu awabariki wote katika kuupokea mwaka mpya!