Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,839
- 93,626
Mkuu mimi naona hiyo ndiyo zawaidi inayomfaa Lissu kwa sasa.ulivyokoment
Mkuu mimi naona hiyo ndiyo zawaidi inayomfaa Lissu kwa sasa.ulivyokoment
Labda la mkulu wakeJana Gambo alionekana kanunua daftari kubwa sana. Watch this space for updates!
wacheni propaganda za kutumia wagonjwa....watanzania wangapi na zimefika shilingi ngapi mpaka sasa?Nimependa sana jinsi wananchi wanavyoona ni jukumu lao kuhakikisha anapata matibabu mazuri na kurudi kuendelea na kazi ya ukombozi ,Mungu amlinde na kuendelea kumpa pumzi siku moja aje aone jinsi taifa Zima lilivyonyuma yake kasoro bashite na baba yake
Mkuu mimi naona hiyo ndiyo zawaidi inayomfaa Lissu kwa sasa.
Yule anaetaka aombewe anakaimu nafasi ya idd Amini lakini anajificha kwenye neno wanyongeLissu akirudi kwanza akaimishwe nafasi ya baba wa Taifa, Taifa halina baba wa Taifa kwa kipindi kirefu sana.
Atapoa, hakuna kinachomshinda Mungu wa mbinguni, kama Lissu amepigwa risasi 38 na bado ameanza kukaa kitandani, basi hakuna kinachomshinda Mungu isipokuwa huwa ni suala la muda. Karibu tena.sijui lile likifaru siku likiamua kujibu sijui litaropokwa nn !
Atapoa, hakuna kinachomshinda Mungu wa mbinguni, kama Lissu amepigwa risasi 38 na bado ameanza kukaa kitandani, basi hakuna kinachomshinda Mungu isipokuwa huwa ni suala la muda. Karibu tena.
Wanyonge ni watu wapuuzi, kwenye bible hakuna neno wanyonge isipikuwa kuna masikini na matajiri, ukiona mtu anatamka neno wanyonge ujue ni wakala wa ibilisiYule anaetaka aombewe anakaimu nafasi ya idd Amini lakini anajificha kwenye neno wanyonge
Well notedameen kwa dua zako
Hili doa la uovu linalowaandama waovu hawa kamwe haliwezi kufutika katika fikra za watanzania na kwa hakika litawaandama mpaka siku wanaingia kaburini..Biblia katika chuo cha Matendo 13:36 Imeandikwa, nanukuu, "Kwa maana Daudi, akiisha kulitumikia shauri la Mungu katika kizazi chake, alilala" mwisho wa kunukuu. Hivyo wauaji wote wa TAL watambue kuwa wasingeweza kumuua TAL kwani kazi yake aliyoletwa kwayo hajaimaliza! "PRAY FOR LISSU"
mgonjwa mwenyewe ni lulu yaani hata kama zimefika milioni moja lakini wamechanga wanyonge hilo ni pigo kwa serikali na ndugai ambao wao wengine wana mioyo ya plastic wanatibia kwa kodi zetu wengine wanavijidudu vinakula ubongo wao bado wanatumia fedha za bunge kujitibia kwa miezi na miezi lakini Lissu ni wananchi wanyonge kwa raha zao wanashiriki kuhakikisha mwamba wa democrasia mtetezi wa wanyonge mtu muhimu mno anapata matibabu ya kiwango cha juuwacheni propaganda za kutumia wagonjwa....watanzania wangapi na zimefika shilingi ngapi mpaka sasa?
hivi ufipa hamna ajira za kuwapatia kipato zaidi ya hii friends of .......
Umewaza mbali sana Bossi.Lissu akirudi kwanza akaimishwe nafasi ya baba wa Taifa, Taifa halina baba wa Taifa kwa kipindi kirefu sana.
Pamoja mkuuUmewaza mbali sana Bossi.
Ndio haohao wasiojulikana tumegundua hawatakiwi WajulikaneKuna tetesi kuwa wanajiandaa kupiga marufuku michango ya tiba.