Lissu atimkia Ulaya baada ya kuharibu

Lissu atimkia Ulaya baada ya kuharibu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Zimeingia ngapi kwa hii?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Aliyefanikiwa kusoma hii Riwaya atupe majibu imeishia wapi au itaendelea?
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Punguani wahedi.
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Wakupuuzwa ni wewe uliyeandika uozo
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Kakojoe ulale. Ndicho ulichotumwa kikosi kazi cha chifu Hagaya kushinda mtandaoni kuandika mavi mavi haya!
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Siyo wa kupuuzwa tu ,ni wa kudharauliwa na ni mshenzi. Anafanya ujinga Tanzania halafu kubwa zima na akili zake anasema ameshapeleka ripoti bunge la Ulaya.Kumbe ule mwili ni puto tu hamna kitu.
 
Akija tena ni ndukinduki mpaka mteme ndoano
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Demu wa Lucas Muoshambwa
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Cause and Effect: Kwa sababu ipi Lissu alienda Ubeligiji maskani kwa mara ya kwanza? Ni kwa sababu alienda kutibiwa kwa sababu CCM walimpiga risasi 38, na 16 ziliingia mwilini. That was the cause. CCM caused it.

Je Lisu ni mfuasi wa mabeberu, no evidence. Effect ndiyo hayo yanayotokea sasa. Propaganda zenu ni upotoshaji mkuu.

Assessment ya uzi wako: uongo
(Pants on fire)
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Serikali "sikivu" Ya mama mpaka Leo imeshindwa kuwakamata waliompiga risasi! Serikali ya hovyo kabisa, kama wanashindwa kukamata waliompiga risasi, tena mchana kweupe, na CCTV camera zilukuwepo, wataweza kweli kukamata wezi wa kalamu! Mama LA mipasho, linachojua ni kulembua macho tu!
Kazi iendeleeee
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Wenzio wanaleta hoja jukwaani, wewe unaleta vioja, habari ambazo hazina hata content.

Ukiwa na upeo wa kuweza kutafakari japo kidogo ungeweza hata kujiuliza, ni lini mtu kusafiri nje ya nchi ikawa ni habari ya kutaka watu wasafiri.

Tatizo la kuzaliwa Mchambawima, ukakulia hapo hapo, ukasomea primary na sekondari hapo hapo, chuo ukasafiri sana mpaka Dar. Mtu akienda hata Uganda tu unaona maajabu, akienda Ulaya unaona ni muujiza!!
 
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ameondoka nchini kwenda Ubelgiji, zikiwa ni siku chache baada ya kuachiliwa kwa dhamana kufuatilia kukamatwa na Polisi jijini Arusha kwa kosa la kuzuia Jeshi la Polisi kufanya kazi yake na kulazimisha kufanya mikutano kwenye hifadhi akiwa hana kibali cha kufanya hivyo.

Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.

Tangu aliporejea nchini Aprili 5, 2023, Lissu amekuwa akiishambulia Serikali kwa mambo yasiyo na msingi, huku mengine yakiwa ya kutunga ili kuwashawishi wananchi wamuunge mkono yeye na chama chake.

Hata hivyo, jitihada hizo zimeshindwa kuzaa matunda na kumfanya kuendesha siasa za uongo, uchochezi na ubaguzi huku akishikilia hoja ambazo tayari zilikwishatolewa majibu na mamlaka husika.

Kitendo cha kushikilia agenda zisizo na mashiko zilipelekea mikutano mingi ya Chadema kukosa watu, hali ambayo ilimfanya Lissu kubuni mbinu mpya ya kukaidi mamlaka zilizopo akilenga kwamba, atakapokamatwa atapiga kelele ili jumuiya za kimataifa zione anaonewa.

Hali hiyo, ndiyo iliyojitokeza Jumapili ya tarehe 10/09/2023, ambapo licha ya kuzuiwa asiende Ngorongoro na Loliondo kufanya mikutano, yeye alikaidi amri ya Polisi, hivyo Jeshi la Polisi mkoani Arusha likamtia mbaroni yeye na wenzake wakati wakijiandaa kufanya mikutano kinyume cha Sheria.

Baada ya kuondoka kwa Lissu, Baadhi ya watu akiwemo Judicate Mwambona, mkazi wa Dar es Salaam, amesema "ikiwa taarifa za kuondoka kwa Lissu nchini ni za kweli, basi mwanasiasa huyo siyo wa kumwamini na hoja zinazotolewa na wapinzani zina malengo hasi."

“Sasa tunaamini kwamba hakuna mpinzani anayewasemea Watanzania, wote wanatafuta kiki ili mambo yao yaende. Huyu bwana ni mtibuaji tu na dhahiri anawatumikia mabeberu,” aliendelea kusema Mwambona.

Kwa upande wake, Kamala Benson Mpufi, alisema kwamba, "anachokifanya Lissu ni kuchafua hali ya hewa nchini baada ya kuona hana hoja, ili akipata misukosuko aweze kuhalalisha ukaazi wake huko Ubelgiji".

“Hivi juzi tu alivyokamatwa alisema kwamba tayari ametuma taarifa mpaka Bunge la Ulaya, huyu mtu anakuja nchini kuchafua ili mamlaka zikimdhibiti awaeleze wanaomfadhili kuwa Tanzania hali siyo shwari na aendelee kukaa huko, wapinzani hawaaminiki kabisa,” aliendelea kueleza Mpufi.

Katika kipindi ambacho amekuwepo nchini, Lissu ameendesha mikutano mingi ya hadhara, ambayo baada ya kukosa watu, amekuwa akitumia lugha za matusi kuwatukana viongozi wa sasa na wastaafu.

Kwa zaidi ya mwezi sasa mikutano ya chama hicho Kanda ya Ziwa imekuwa ikikosa watu huku mingine ikilazimika kuahirishwa baada ya vingozi wakuu wa chama kufika uwanjani na kukuta hakuna watu.

Mikutano ya Lissu na viongozi wenzake inakosa mvuto kutokana na wafuasi, wanachama na Watanzania kwa ujumla kuendelea na shughuli wakati viongozi hao wakifanya mikutano yao.

Kukataliwa kwa chama hicho kumedhihirishwa na mahudhurio ya wananchi, ambapo wengi kutoshiriki kutokana kukerwa na tabia ya viongozi wa chama hicho wanaoshindwa kujenga hoja na kuporomosha matusi kwa viongozi wa Serikali, wakiwemo marais wastaafu na waasisi wa Taifa hili.

Mbali ya matusi, Chadema imeendeleza sera zake za ubaguzi, ukanda na kuvuruga Muungano kwa kutoa hotuba za kichochezi ambazo zinavuruga umoja na mshikamano ambao umedumu kwa miaka mingi.

Hoja inayowatesa Chadema kwa sasa ni namna ya kuwaaminisha Watanzania kuhusu mchakato wa uwekezaji wa bandari, huku wakitumia muda mrefu kukashifu viongozi wa Serikali sambamba na wastaafu hali inayowapa wakati mgumu kuvutia watu kwenye mikutano yao.

Kuondoka kwa Lissu nchini kunaonesha dhahiri kuwa, Lissu amekiuka masharti ya dhamana, jambo ambalo ni kosa kisheria.

Wachambuzi wa masuala ya siasa wanaeleza kwamba, ukaidi unaofanywa na Lissu na Chadema ni mbinu mpya wanqyoitumia CHADEMA wakiwa wanalenga kupata huruma ya Jumuiya za Kimataifa baada ya Watanzania kukikataa chama hicho kwa kutohudhuria mikutano yake.

Katika kuthibitisha hilo, Lissu, licha ya kwamba tayari alikuwa amezuiwa kuingia Ngorongoro, aliandika kwenye mitandao ya kijamii akisema ataendelea kufanya mikutano Ngorongoro kwa kuwa zuio hilo ni haramu.

Tangu Chadema ilipoanza harakati zake za Operesheni +255 na kupinga Mkataba wa Bandari, chama hicho kimeonekana kukataliwa na wananchi ambapo mikutano yake mingi imedoda kwa kukosa wahudhuriaji.

Lissu, ambaye kurejea kwake nchini kumetokana na busara ya Rais Samia Suluhu Hassan, katika mikutano inayoendelea amekuwa akimtusi Rais huyo huyo kwa madai kwamba ni mwizi.

Ameendelea kupotosha umma kwamba, bandari zote zimekabidhiwa kwa Waarabu wa DP World, jambo ambalo anafahamu kuwa siyo la kweli.

Lissu siyo mwenzetu bali ni kibaraka anayetumika na mataifa ya nje, harakati zake ni kwa ajili ya vuruga amani ya nchi kwa maslahi ya mataifa ya nje.

Lissu ni wa kuupuzwa tu.
Upumbavu sana huu.
Na ndio maana CCM yetu inadharaulika kwa kuwa na baadhi ya watu wajinga kama wewe.
Badala ya kujibu hoja za Lissu unaanza kutoa uongo kuwa kaharibu, he,kaharibu nini?.
Mtu asisafiri eti tu ametimka?.
 
Ulikuwa jela? Lissu ni wa kimataifa. Msomi. Lazima atembee na kujifunza. Unadhani ni kama mama Abdul anayegawa bandari kwa waarabu?
Rais akisafiri anatumia pesa vibaya, anaenda kuuza nchi, Lisu akisafiri , msomi lazima asafiri anenda kujifunza. Duu ni hatari.
 
Rais akisafiri anatumia pesa vibaya, anaenda kuuza nchi, Lisu akisafiri , msomi lazima asafiri anenda kujifunza. Duu ni hatari.
Una uelewa gani? Unajua gharama ya rais kusafiri? Yaani unafananisha gharama anazotumia mtu mmoja kusafiri na gharama ya rais wa nchi? Halafu rais hujui anatumia kodi za wananchi? Lissu akienda kwa safari za binafsi anatumia kodi yetu?
 
Una uelewa gani? Unajua gharama ya rais kusafiri? Yaani unafananisha gharama anazotumia mtu mmoja kusafiri na gharama ya rais wa nchi? Halafu rais hujui anatumia kodi za wananchi? Lissu akienda kwa safari za binafsi anatumia kodi yetu?
Usiangalie gharama za yeye kusafiri, linganisha gharama na faida ya yeye kusafiri. Kama anatumia bilioni Moja kusafiri, na akaleta bilioni tatu kwa ajili ya wananchi basi sioni tatizo. Baba mwenyenyumba kusafiri kutafuta riziki ni Bora.
 
Usiangalie gharama za yeye kusafiri, linganisha gharama na faida ya yeye kusafiri. Kama anatumia bilioni Moja kusafiri, na akaleta bilioni tatu kwa ajili ya wananchi basi sioni tatizo. Baba mwenyenyumba kusafiri kutafuta riziki ni Bora.
Tumia akili hata kidogo. Hakuna fedha zinapatikana kwa kusafiri. Ingekuwa mambo ni rais hivyo basi tungepanga awe anasafiri kila wiki na kurudi na bunda la fedha. Urais ni taasisi na kuna namna nyingi za kuweza kufanya mambo bila kusafiri. Au wewe ni ''agwe'' nini unamsubiri baba kasafiri kwenda mjini kutafuta fedha na unadhani nchi inaongozwa hivyo?
 
Tumia akili hata kidogo. Hakuna fedha zinapatikana kwa kusafiri. Ingekuwa mambo ni rais hivyo basi tungepanga awe anasafiri kila wiki na kurudi na bunda la fedha. Urais ni taasisi na kuna namna nyingi za kuweza kufanya mambo bila kusafiri. Au wewe ni ''agwe'' nini unamsubiri baba kasafiri kwenda mjini kutafuta fedha na unadhani nchi inaongozwa hivyo?
Wewe taahira, unafikiri kurudisha mahusiano ya kimataifa yaliyopotea ni kazi ndogo. Kujenga inqmi kwa wawekezaji ni kazi kubwa mwehi wewe, Kuna mambo duniani huko lazima watu wayasikie kutoka kwenye kinywa Cha mkuu wa nchi. Na sio kupitia wasaidizi.
 
Wewe taahira, unafikiri kurudisha mahusiano ya kimataifa yaliyopotea ni kazi ndogo. Kujenga inqmi kwa wawekezaji ni kazi kubwa mwehi wewe, Kuna mambo duniani huko lazima watu wayasikie kutoka kwenye kinywa Cha mkuu wa nchi. Na sio kupitia wasaidizi.
You are just an idiot. You are country bunking with zero knowledge about presidency and leadership!
 
Taarifa za watu wa karibu yake zinaeleza kuwa, Lissu aliondoa nchini tarehe 12/09/3023 kwenda Ubelgiji iliko familia yake, tukio ambalo wachambuzi wa masuala ya siasa wanasema ni ishara ya kuonyesha kwamba amemaliza kutekeleza alichotumwa na mabeberu nchini.
Mbona yupo? 😁
 
Back
Top Bottom